JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Spika wa Bunge, Tulia Ackson ametoa onyo kwa Wabunge ambao hawafuati utaratibu wanapokuwa Bungeni ikiwemo kupiga kelele na kuzungukazunguka ndani ya Bunge pasipo kufuatilia kinachoendelea.
“Tufuate kanuni zetu na utaratibu humu ndani ikiwa pamoja na kanuni ya 73 inayozungumzia staha ndani ya Bunge, wapo Wabunge ambao siku nzima anazunguka kiti kimoja kwenda kingine, hata akiambia jambo gani limejadiliwa hiyo siku, hajamsikia mchangiaji hata mmoja.
“Kanuni zipo wazi kutangatanga ndani ya Bunge bila sababu hairuhusiwi, tulizingatie,” - Spika Tulia, leo Mei 23, 2022
“Tufuate kanuni zetu na utaratibu humu ndani ikiwa pamoja na kanuni ya 73 inayozungumzia staha ndani ya Bunge, wapo Wabunge ambao siku nzima anazunguka kiti kimoja kwenda kingine, hata akiambia jambo gani limejadiliwa hiyo siku, hajamsikia mchangiaji hata mmoja.
“Kanuni zipo wazi kutangatanga ndani ya Bunge bila sababu hairuhusiwi, tulizingatie,” - Spika Tulia, leo Mei 23, 2022