.
Unakumbuka Sakata la Vituo vya Mafuta Moro?. Mahakama ilitoa uamuzi, Spika akaucrass , Jaji Mkuu akasema Spika Ameghafilika, Spika akatangaza Bungeni, Jaji Mkuu ndiye ameghafilika.
Sakata lenyewe lilikuwa hivi, Sumatra walifanya surprise check ya usafi wa mafuta, ikakuta mafuta yamechanganywa kwenye vituo 6. Ikavifungia right there and them. Wamiliki wakaenda mahakamani, mahakama ikavifungulia kwa hoja kuwa sheria zilikiukwa, Sumatra haikufuata sheria kuvifungia.
Kwanza kabisa kosa lako lilikuwa kuchanganya pumba na mchele.
Pumba ni pale ulipo sema kuhusu speaker na suala la serikali kutekeleza maamuzi ya serikali, ya kwamba anataka anacho taka yeye ndio kiwe, wakati serikali mpaka sasa hivi bado hawajatoa tamko lao rasmi la utekelezaji wa maazimio ya bunge.
Sasa hapa ni kwamba umetaka kwa makusudi mazima kupotosha ukweli.
Sasa ukija suala la kituo cha mafuta unatakiwa uangalie substance ya kitu.
Moja matumizi ya Stop order, kwa tanzania imekuwa ikitumika vibaya kama solution ya matatizo badala ya kuwa temporary relief kwa muhusika, stop order imekuwa ikitumuka kupitiliza kipinda cha busara cha situation. kingereza wanasema beyond reasonable time, sasa reasonable time kwenye sheria inatafsiri yake kutokana na situation. mfano wewe kwenda huko kwenu reasonable time inaweza kutafsirika ni siku tatu na sio 7, mwezi au mwaka.
sasa kwa mfano hilo la kituo cha mafuta walikuwa wanataka stop order ya siku ngapi? pili wameshikwa readhanded je hilo suala lina hitaji stop order? wakati mafuta ni bidha inayotoka kila siku, si ndio mwanzo wa kupoteza ushahidi?
Tatu nini mamlaka ya eura ikiwa sheria inasema ukimpata mtu mwenye mafuta machafu adhabu yake ni kufungiwa kituo pale pale? sasa yeye defence yake ni kupeleka ushahidi mahakama kwa kutumia hati ya dharura, na hata mahakama ya biashara zimewekwa ili kuharakisha mambo kama hayo, sasa wao kesho yake ni kupeleka sampuli ya stock yao ambayo ni nzuri, na ewura nao kupeleka sampuli chafu, then indepent side watapeleka sampuli yao hao wanaopingana, within three to one week suala limetatuliwa, sasa wewe kutafsiri yako ulitaka hiyo stop order ikae zaidi ya hapo wakati hao watu wanaweza kuharibu ushahidi, ndio ufanisi unaotaka kubariki.
Sasa kama jaji mkuu kapotoka interested parties tusiseme hivyo, iwe ni barabarani au kwenye sehemu zinazo husika?
Unajua sheria zingine huwa zinapingwa kwa sababu uwepo wake ni kwa ajili ya kuntyima wengine haki? mfano hiyo ya mgombea binafsi na yule wa chama. nini Nyalali alisema, au Kamati ya Jaji Kisanga? mbona walipuuzwa na Serikali mpaka leo hilo jambo halina tafsiri iliyo sahihi?
Unajua Tanzania tumewaachia wanasiasa kutuamulia mambo mengi mpaka ya kitaalumu, sasa wewe , nina hisi nimwana taaluma kwa njaia moja au nyingine, hivyo unatakiwa kuwa na mawazo endelevu na si mgando.
na hili la sheria mbovu mbovu sio tanzania tu hata nchi zilizo endelea sema wenzutu, mahakama haina uoga wakuiambia serikali hapo mlipotoka.
Tanzania limesemwa lakini utkelezaji hakuna.