Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
vimada ni asili kwa watanzania haswa wa yale makabila ya asili ya wake wengi, ila kutumia mali ya umma kuhudumia viimada sio maadili. pamoja na yote, spika sita ni spika wa viwango. kabla yake bunge letu lilwahi kuitwa bunge butu' kongoli neno bunge butu kwenye google. sasa bunge lutu sio bunge butu tena.