Wayaring
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 304
- 248
Wewe ni mgonjwa, aliowasema Nape wamevuliwa uanachama lakini bado wanaendelea na ubunge. Sasa wewe unataka avuliwe uanachama yeye. Ndiyo sheria ya kupoteza ubunge itumike kwake. Kwa manufaa yako!Nape zamu hii lazima avuliwe uanachama wa ccm, apoteze na hako kaubunge kake, akaungane na wenzake chadema. He is too much. Zamu ile aliomba samahani na akasamehewa (kwa mazungumuzo yake kwenye simu yaliyodukuliwa, wakimsema vibaya aliyekuwa rais wa JMT wakipanga mipango mibaya dhidi ya serikali).
Avuliwe uanachama wake wa ccm na tuone kama atang'ang'ania huo ubunge.
Juzi tulimwona akiwa na akina Lissu kwenye zoom wakiisema vibaya serikali ya awamu ya 6 chini ya mama yetu SSH!