wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Watatumia sheria ya mtandao. Hii kesi inaweza weka taratibu mpya. Ngoja tuone.Kama hakuna documents zozote zinazoonyesha Mh. Mwambe siyo mwanachadema tena basi hiyo kesi itapigwa chini kirahisi tu.
Kutegemea vyombo vya habari tu haisaidii lazima process ya kuondolewa uanachama kama ilivyo kwenye Katiba ya Chadema ifuatwe kama haikufuatwa basi hakuna kesi hapo. Hao wanasheria wanakula pesa za bure tu ama wanania ya kujitangaza ili wajulikane wapo!
Naamini Spika atakuwa alipata ushauri kwanza toka kwa Mwanasheria wa Bunge akiwemo Katibu wa Bunge ambaye naye ni mwanasheria kabla ya kuchukua uamuzi huo.
Sent using iphone pro max