Valuhwanoswela
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 1,229
- 1,125
Ingekuwa akili imeoza ungebaki mzoga lakini huyu hana kabisa anategemea ya mwingine ambayo nayo imechoka.Akili ya Ndugai imeoza
Ingekuwa akili imeoza ungebaki mzoga lakini huyu hana kabisa anategemea ya mwingine ambayo nayo imechoka.Akili ya Ndugai imeoza
Hii kesi inafanana na kesi ya Mwenyekiti wa CUF, prof Lipumba kujivua uenyekiti CUF Kwa maneno, na Chama kutofuata katiba yake kwa wakati. Mwisho akarudi mkibaki mnalalama.Wanashinda mchana kweupe!
Mwambe ajiandae kurejesha pesa za umma. Asipoweza ndugai atamlipia.
WAKILI wa Mahakama Kuu ya Tanzania amefungua kesi ya kikatiba dhidi ya Spika wa Bunge Job Ndugai (MB) na aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Ndanda kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Cecil Mwambe, na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Katika kesi hiyo ya kikatiba namba 10 ya mwaka 2020, Wakili Paul Kaunda anaiomba Mahakama Kuu kutengua amri ya spika ya kumtambua Mwambe kama mbunge halali, ilhali mbunge huyo (Mwambe) aliushautangazia umma kwamba amejivua uanachama wa Chadema na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kaunda amesema, kitendo cha spika kumtambua Mwambe kama mbunge halali wakati ameshajivua uanachama wa chama kilichomdhamini ni ukiukwaji wa ibara ya 71(1)(f) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, na hakuna mamlaka yoyote nchini, yenye uwezo wa kumrudisha bungeni mbunge ambaye kwa hiari yake mwenyewe ameamua kujivua uanachama wa chama cha siasa kilichomdhamini kupata ubunge.
Kesi hiyo ya kikatiba imepangwa kusikilizwa Mei 21, 2020 na jopo la majaji watatu litakaloongozwa na Jaji Issa Maige. Majaji wengine ni Stephen Kirimi Magoiga na Seif Kulita.
Katika kesi hiyo, atawakilishwa na jopo la mawakili sita litakaloongozwa na Wakili Mwandamizi Mpale Mpoki akisaidiwa na mawakili Daimu Halfani, Fulgence Massawe, Prisca Chogero, Stephen Msechu pamoja na Stephen Ally Mwakibolwa.
Credit: LHRC.
Ina maana wewe unajua afanye nini ili arudi bungeni mtu ambaye hujawahi kuwa hata kuwa kiranja wa chooni shule na yeye ambaye amewahi kuwa kada wa CCM kwa miaka mingi, mbunge na waziri hajui? duuuh!Nyarandu anatamani kurudi ila hajui aanzie wapi,
Haituhusu.na uchaguzi ukiisha unaweza msikia karudi ubelgiji,
Nipe ushahidi wa barua ya CHADEMA kwenda kwa spika kuwa Mwambe si mwanachama wao baada ya Lispika kumuita Bungeni.kuhusu katiba ya chadema walitakiwa kuandika barua kwa spika kumjulisha kuwa sasa huyo sio.mbunge wao, lakini wakakaa kimya walipomuona bungeni ndo wanastuka kumbe kumekucha.
So kwa akili zako unaweza kutuambia kwanini baada ya Mwambe kutangaza kujitoa Chadema hakurejea tena bungeni hadi alipoitwa?Hii kesi inafanana na kesi ya Mwenyekiti wa CUF, prof Lipumba kujivua uenyekiti CUF Kwa maneno, na Chama kutofuata katiba yake kwa wakati. Mwisho akarudi mkibaki mnalalama.
Kila kitu kina taratibu na sheria . Tatizo vyama vyetu vina- katiba lakini havifuati.
Vyama vya kihuni! Heri zimwi likujualo.
Tunahitaji kuona mbadala ulio bora zaidi ya Ccm. Sio huu wakihuni usio fuata hata katiba na taratibu zao walizojiwekea wenyewe. Je katba ya TZ wataiweza?
Wabunge walitangaza kwamaneno kujitoa, je chama kilichukua hatua gani?
Katiba ya chama inasemaje kuhusu mtu anaetangaza kuhama, je baada yakutangaza ndio anakuwa kahama kweli? Wapinzani bongo ni wajasiliasiasa tu. Natamani kusikia tena hoja za kisiasa na ushawishi km za Dr Slaa. 'hazina yetu iliyopigwa teke!
So kwa akili zako unaweza kutuambia kwanini baada ya Mwambe kutangaza kujitoa Chadema hakurejea tena bungeni hadi alipoitwa?
Unaweza kuniambia waliopita kama Waitara, Molleli na wengineo kwanini baada ya kujitoa walichaguliwa upya?
Ina maana wewe unajua sana sheria za bunge, vyama vya siasa na CHADEMA ambao wako ndani ya huo mchezo hawajui lakufanya? Hahaha haki Tanzania sirudi i better die in America
... badala ya kuja na facts unaleta mipasho! Endelea kujipa matumaini hewa.Ujinga kama huu utauona TZ, tu, labda na burundi!!!
Na hukumu ikitoka, mahakama ikisema hakustahili kuendelea kuwa mbunge"hapo yatawekwa mapingamizi hadi amalize mda wake, lengo aendelee kula posho
Tusubiri maamuzi ila sioni mantiki ya kesi. Huyo amechaguliwa na Wananchi
Ina maana wewe unajua sana sheria za bunge kuliko spika wa bunge?So kwa akili zako unaweza kutuambia kwanini baada ya Mwambe kutangaza kujitoa Chadema hakurejea tena bungeni hadi alipoitwa?
Unaweza kuniambia waliopita kama Waitara, Molleli na wengineo kwanini baada ya kujitoa walichaguliwa upya?
Ina maana wewe unajua sana sheria za bunge, vyama vya siasa na CHADEMA ambao wako ndani ya huo mchezo hawajui lakufanya? Hahaha haki Tanzania sirudi i better die in America
... tatizo ni ushahidi kwamba Mwambe alishajivua uanachama wa chama kilichomdhamini; shida iko kwenye ku-prove hilo. Kumbuka Ofisi ya Spika haindeshi mambo yake kupitia taarifa za media; inaendeshwa kwa taratibu na nyaraka rasmi za kiofisi.
Hivyo hata kama Mwambe alionekana majukwaani akijivua uanachama wa Chadema bado hiyo sio basis ya Ofisi ya Spika ku-rule out kwamba sio mbunge kwani majukwaa ya kisiasa sio official kwa maamuzi rasmi ya kiofisi kufanyika. Kwa Mfano, Spika angeiandikia NEC kwamba Jimbo la Mwambe liko wazi based on what evidence? Kwamba alionekana akikabidhiwa kadi ya CCM na Bashiru? Hicho kitu hakipo.
WAKILI wa Mahakama Kuu ya Tanzania amefungua kesi ya kikatiba dhidi ya Spika wa Bunge Job Ndugai (MB) na aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Ndanda kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Cecil Mwambe, na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Katika kesi hiyo ya kikatiba namba 10 ya mwaka 2020, Wakili Paul Kaunda anaiomba Mahakama Kuu kutengua amri ya spika ya kumtambua Mwambe kama mbunge halali, ilhali mbunge huyo (Mwambe) aliushautangazia umma kwamba amejivua uanachama wa Chadema na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kaunda amesema, kitendo cha spika kumtambua Mwambe kama mbunge halali wakati ameshajivua uanachama wa chama kilichomdhamini ni ukiukwaji wa ibara ya 71(1)(f) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, na hakuna mamlaka yoyote nchini, yenye uwezo wa kumrudisha bungeni mbunge ambaye kwa hiari yake mwenyewe ameamua kujivua uanachama wa chama cha siasa kilichomdhamini kupata ubunge.
Kesi hiyo ya kikatiba imepangwa kusikilizwa Mei 21, 2020 na jopo la majaji watatu litakaloongozwa na Jaji Issa Maige. Majaji wengine ni Stephen Kirimi Magoiga na Seif Kulita.
Katika kesi hiyo, atawakilishwa na jopo la mawakili sita litakaloongozwa na Wakili Mwandamizi Mpale Mpoki akisaidiwa na mawakili Daimu Halfani, Fulgence Massawe, Prisca Chogero, Stephen Msechu pamoja na Stephen Ally Mwakibolwa.
Credit: LHRC.
WAKILI wa Mahakama Kuu ya Tanzania amefungua kesi ya kikatiba dhidi ya Spika wa Bunge Job Ndugai (MB) na aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Ndanda kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Cecil Mwambe, na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Katika kesi hiyo ya kikatiba namba 10 ya mwaka 2020, Wakili Paul Kaunda anaiomba Mahakama Kuu kutengua amri ya spika ya kumtambua Mwambe kama mbunge halali, ilhali mbunge huyo (Mwambe) aliushautangazia umma kwamba amejivua uanachama wa Chadema na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kaunda amesema, kitendo cha spika kumtambua Mwambe kama mbunge halali wakati ameshajivua uanachama wa chama kilichomdhamini ni ukiukwaji wa ibara ya 71(1)(f) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, na hakuna mamlaka yoyote nchini, yenye uwezo wa kumrudisha bungeni mbunge ambaye kwa hiari yake mwenyewe ameamua kujivua uanachama wa chama cha siasa kilichomdhamini kupata ubunge.
Kesi hiyo ya kikatiba imepangwa kusikilizwa Mei 21, 2020 na jopo la majaji watatu litakaloongozwa na Jaji Issa Maige. Majaji wengine ni Stephen Kirimi Magoiga na Seif Kulita.
Katika kesi hiyo, atawakilishwa na jopo la mawakili sita litakaloongozwa na Wakili Mwandamizi Mpale Mpoki akisaidiwa na mawakili Daimu Halfani, Fulgence Massawe, Prisca Chogero, Stephen Msechu pamoja na Stephen Ally Mwakibolwa.
Credit: LHRC.
... wewe sasa umeelewa vizuri sana. white wizardKwamba katika utetezi atasema, yeye bado ni mwanachadema na atakana kujiondoa chamani?!
Ok...nimekumbuka lipumba!
Ngoja tuone hii itakuwaje"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambe mwenyewe alijua kwamba alishajivua ubunge baada ya kuhama chama kilichomdhamini ndiyo maana hakurudi bungeni,mpaka alipoitwa na Ndungai.... tatizo ni ushahidi kwamba Mwambe alishajivua uanachama wa chama kilichomdhamini; shida iko kwenye ku-prove hilo. Kumbuka Ofisi ya Spika haindeshi mambo yake kupitia taarifa za media; inaendeshwa kwa taratibu na nyaraka rasmi za kiofisi.
Hivyo hata kama Mwambe alionekana majukwaani akijivua uanachama wa Chadema bado hiyo sio basis ya Ofisi ya Spika ku-rule out kwamba sio mbunge kwani majukwaa ya kisiasa sio official kwa maamuzi rasmi ya kiofisi kufanyika. Kwa Mfano, Spika angeiandikia NEC kwamba Jimbo la Mwambe liko wazi based on what evidence? Kwamba alionekana akikabidhiwa kadi ya CCM na Bashiru? Hicho kitu hakipo.
Wasomi wa Tz ni kama nyani tu,ila hawana mkia.Kama hakuna documents zozote zinazoonyesha Mh. Mwambe siyo mwanachadema tena basi hiyo kesi itapigwa chini kirahisi tu.
Kutegemea vyombo vya habari tu haisaidii lazima process ya kuondolewa uanachama kama ilivyo kwenye Katiba ya Chadema ifuatwe kama haikufuatwa basi hakuna kesi hapo. Hao wanasheria wanakula pesa za bure tu ama wanania ya kujitangaza ili wajulikane wapo!
Naamini Spika atakuwa alipata ushauri kwanza toka kwa Mwanasheria wa Bunge akiwemo Katibu wa Bunge ambaye naye ni mwanasheria kabla ya kuchukua uamuzi huo.