Pelle mza
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 3,050
- 1,692
Ni nani kati ya wafuatao aliyemwandikia rasmi Spika kwamba Mwambe amejiuzuru... Spika anashtakiwa kwa kuvunja Katiba (jinai kuu) sio makosa ya mijadala ndani ya Bunge bwasheee elewa somo kwanza.
1. Mwambe
2. CHADEMA
3. Msajili wa vyama vya siasa
4. Tume ya uchaguzi
5. CCM