technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Kwa watu makini wanajua Report ya CAG ndio kitu kilichotawala week hii yote lakini pia kuna ufisadi wa kutisha ndani ya Report Ile.
Zitto katoa takwimu za uhakika kwamba pesa zaidi ya 4.6 trion zilitumika kiholela...
Pia ameonyesha jinsi gani ambavyo CAG kaogopa kiasi kusema kwamba pesa zaidi ya bilion 800 zimechotwa na kupotea.
Huu ni mkakati wa Serikali kumtumia Job Ndungai ili sisi tuendelee kum discuss yeye na kuacha report ya CAG..
Jamani tuache siasa za matukio serikali waje na majibu ya maana kutokana na Report ya CAG ambayo inaonyesha kuna ufisadi wa kutisha kuliko report zote kuanzia mwaka 1961 tulipopata uhuru.
Bilion 800 zipo wapi ? Pesa ya kujenga shule zaidi ya 800 za bilion 1 nchi nzima ma kununua madawati zinapotea bila kujibiwa zipo wapi halafu tunaenda kufatilia upuuzi wa job Ndungai?.
Ili kuzima mjadala lazima kwanza pesa zetu zijulikane zilipo bilion 800 ukiunganisha na Ile 2.4 trion tutakuwa tumepoteza pesa zaidi ya trion 3.2 ndani ya miaka 2 je baada ya miaka 10 tutakuwa tumepoteza pesa kiasi gani..
Serikali ya kifisadi,Bunge dhaifu CAG ndiye mshindi kwa hili
Jibuni hoja za CAG kwanza .
Zitto katoa takwimu za uhakika kwamba pesa zaidi ya 4.6 trion zilitumika kiholela...
Pia ameonyesha jinsi gani ambavyo CAG kaogopa kiasi kusema kwamba pesa zaidi ya bilion 800 zimechotwa na kupotea.
Huu ni mkakati wa Serikali kumtumia Job Ndungai ili sisi tuendelee kum discuss yeye na kuacha report ya CAG..
Jamani tuache siasa za matukio serikali waje na majibu ya maana kutokana na Report ya CAG ambayo inaonyesha kuna ufisadi wa kutisha kuliko report zote kuanzia mwaka 1961 tulipopata uhuru.
Bilion 800 zipo wapi ? Pesa ya kujenga shule zaidi ya 800 za bilion 1 nchi nzima ma kununua madawati zinapotea bila kujibiwa zipo wapi halafu tunaenda kufatilia upuuzi wa job Ndungai?.
Ili kuzima mjadala lazima kwanza pesa zetu zijulikane zilipo bilion 800 ukiunganisha na Ile 2.4 trion tutakuwa tumepoteza pesa zaidi ya trion 3.2 ndani ya miaka 2 je baada ya miaka 10 tutakuwa tumepoteza pesa kiasi gani..
Serikali ya kifisadi,Bunge dhaifu CAG ndiye mshindi kwa hili
Jibuni hoja za CAG kwanza .