tzcountry I love
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 729
- 641
Kama tunaliona bunge.dhaifu yeye analazimisha tubadili mawazo yetu ama ya CAG?
Inashangaza sana. Mtu akikuita mjinga, kama wewe siyo mjinga je utakuwa mjinga kwa kuwa tu umeitwa mjinga? This.is all too silly.
Inashangaza sana. Mtu akikuita mjinga, kama wewe siyo mjinga je utakuwa mjinga kwa kuwa tu umeitwa mjinga? This.is all too silly.