Lunyungu,
Tupe feedback nini kinaendelea Dodoma sasa hivi?
mwanakiji makubaliana na wewe ,ninahisi kuna jambo kubwa linakuja hapa karibuni hususani kesho, jumatano na alhamisi.na moja kati ya vitu ninavyovihisi ni aidha el kujiuzuru au baraza kustep down, so tukaeni mkao wa kula mana kuna lolote linaweza kutokea soon. na muungwana ataenda dodoma wiki hii.
Atapita na kuomba radhi na kukiri kufanya maamuzi mabaya hasa watu walio chini yake na ataonesha kweli hakujua RDC ilivyo kwani hadi hivi sasa ile "smoking gun" inayomfunga Lowassa na RDC haipo. Kinachoonekana ni moshi tu. The gun itself is no where to be seen ( I mean I know where it is.. but they don't) Does this remind you of Dito's gun..??
f......Mwanakijiji anaweza kupewa ulaji na JK 'kumyamazisha'........
kwa vile Rais bado ana nafasi mbili za kuteua wabunge, miye naomba hako kanafasi kamoja. Hiyo inaweza kuninyamazisha hapa JF na kunifungulia Bungeni.
kwi kwi kwi...
Kinachonichekesha ni huu utaratibu wa anonymous... sasa atajua je kwamba huyu ndiye Mzee Mwanakijiji na wala sio Kasheshe... Je ataangalia hiyo picha ya kumenya muhindi au atatumia simu yako,,, au inabidi atumie Usalama wa Taifa kughamua huyu kweli ndiye Mzee Mwanakijiji.,,, very interesting?