BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,733
- 17,361
Prigozin sio Joseph KoniMakao makuu ya Wagner ni Saint Petersburg,Russia!
Hao FBI si waende huko makao makuu wakamkamate!
Prigozin sio Joseph KoniMakao makuu ya Wagner ni Saint Petersburg,Russia!
Hao FBI si waende huko makao makuu wakamkamate!
Huyo jamaa wa kwanza kushoto Ni jitu sio mtu.Katikati ya bakhumut View attachment 2541875
Battle ya bakhmut?We jamaa unafahamu tunachoongelea lakin?
Specifically tuliongelea battle ya bakhmut naona unaleta general data za tangu vita vianze. Tumia akili yako vizuri usinichoshe.
Aisee hawa jamaa wana mili mikubwa check hiyo njemba.Katikati ya bakhumut View attachment 2541875
Ni Nani huyuWelcome to russiaaaa.....
Huyu jamaa ana maisha ya kipekee
Thanks a lot for revealing a treasure trove ladden with photos and video clips showing undeniably western war crimes and other decipicable atrocities committed over the years by the same preachers of so called "human rights and virtual democracy!!!" Ulaghai mtupu.Huu ni ushenzi aliofanya Marekani duniani...lakini Kuna washenzi wanamshabikia na kumuona mtakatifu... Wakamatwe kwanza Hawa..au waendelee kunyooshwa na mwamba Putin
Mkuu umeleta tena takwimu hizi zinazodaiwa kuwa na asili katika huduma ya ujasusi wa Israel. Tumeshaona mara kadhaa.
Hadi leo haziaminiki. Sidhani majasusi wa Israel wanafanya makosa vile, na namba hizo si sahihi. Angalia tu idadi ya
vifaru vya Kirusi vilivyopotea: 889; Oryx wamekusanya picha za 1807 (katika namba kuna zaidi ya 500 zilizokamatwa na Ukraine);
ndegevita 23 - Oryx ina picha za 77,
artillery systems 427 - oryx ina picha za 758
Hizo ni zile tu zenye ushuda wa picha.
Unaweza kuangalia orodha na pia picha kwenye tovuti ya Oryx: Attack On Europe: Documenting Russian Equipment Losses During The 2022 Russian Invasion Of Ukraine
Yote ni hadharani.
Kuna vimambo mambo vinaendelea Georgia itabidi kuwe na uzi wakeGeorgia kunanani?
Wana msemo wao wanasema "we know we're going to hell! But in hell we'll be the best!"
Mkuu Zelensky akili zake fyatu kabisa - hajali fate Waukraine wenzake anacho jali yeye ni fedha pamoja na kutajirisha US Military Industrial Complex pamoja na mwanae Biden anbaye aliwahi kufanya kazi Ukraine kama mshauri na ku-own kampuni ya mafuta kama sikosei - vita hii hajatokea kwa bahati mbaya kuna genge lawa tu wanapiga pesa big time akiwemo Biden Jr kwa niaba ya familia of course - ndio maana wanataka vita hii iendelee indefinitely!!Mr comedian zelensky ....anasherekea 15% za wanawake kuingia jeshini......
Badala ya kutafuta permanent peace solution ....
Kwa hili Inawezekana sisi waafrika tuna akili kuliko wa Ukraine
Unajua hata maana ya facist au unaongea tuRaia wa Georgia hawataki kufungamana na fashisti Putin
A new rally has started in Tbilisi, Georgia.
More than 10,000 people gathered in front of the parliament building.
NATO wenyewe ndio mdabwedo
English speaking mercenary screaming orders at #Ukranians as they are trying to evacuate from #Bakhmut. This has been reported in the past that leadership positions are given to #NATO fighters who are there to push #Ukranians to fight
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂NATO Sasa hivi wamekua kama Kikundi Cha akina mama.
Wingi wa vikao na matamko.
Watamfanya Nini china hawa?
China ya Leo sio ya Jana.
Itakua ni majibu ya lile shambulio la Ukraine juzi juzi waliloshambulia raia wa Russialeo kwanini wamepiga sanaView attachment 2542510
Zote hizo ni propaganda...Wanazidi kumneemesha Zelensky.
Wacha walete hizo hela watu wazipige.