Si aondoe majeshi ndani ya Ukraine... aache upumbavu wake alishashitukiwa kitambo anaongea vizuri halafu vitendo viovu anafanya chini ya kapeti..

Majuzi katuma ujumbe kwa Zelesnsk kupitia kwa raisi wa Africa and kesho yake wamekanusha kuwa huyo Raisi kajisemea tu binafsi yake baada ya kusikia majibu murua kutoka ukraine
 

Xi Jinping says China and US must ‘find ways to get along’​

US President Joe Biden also told his security chiefs in Washington that the US is not seeking conflict with Beijing.

A screen shows Chinese President Xi Jinping attending a virtual meeting with US President Joe Biden via video link in November 2021 [Tingshu Wang/Reuters]

A screen shows Chinese President Xi Jinping, right, attending a virtual meeting with US President Joe Biden via video link in November 2021 [Tingshu Wang/Reuters]
Published On 27 Oct 202227 Oct 2022
President Xi Jinping says China and the United States must “find ways to get along” to safeguard world peace and development, state media reported.
The Chinese leader’s conciliatory words follow after months of tension between Washington and Beijing over what the US views as China’s increasingly aggressive stance towards Taiwan, and Beijing’s refusal to condemn Russia’s war in Ukraine.
Xi added that China was “willing to work with the US to give mutual respect, coexist peacefully… (and) find ways to get along in the new era”.
 
Zungumza mambo ya kuelimisha watu yaani an independent analysis kuhusu mwenendo mzima wa vita unavyo kuwa conducted pamoja na maoni yako baada ya kupitia sources ambazo ni very
reliable na sio tabloid paper sources hicho ndicho kinacho takikana ili watu wapewe habari/taarifa za kuaminika, kwa bahati mbaya naona mwenzetu badala yake unakimbilia ku-manufacture "tirades" tuuu zisizo kuwa na mantiki hata kidogo - mara ooh Warusi wa Buza,mara ooh Warusi wa Magomeni - mambo ya kitoto toto tu na ku-copy copy na ku-paste kutoka kwenye highly questionable sources, mnashindwa hata kutofautisha between CGI generated video clips and digitally manipulated photos, nyinyi mnadhani vyote hivyo ni real stuff, halafu mnakwenda mbali zaidi mnazijengea hoja, just emulating Zelensky Military propaganda to the letter!!

To drive point home, kuna sehemu nilicommet kwamba si rahisi jeshi la Zelensky likazingira jeshi la Urusi wakati Urusi ina miliki formidable Air force, badala ya kuni hoji na maanisha nini naona mwenzetu badala yake unasema haiwezekani, mbona Urusi imeshindwa kumiliki anga la Ukraine - unacho sahau ni kwamba Urusi amekwisha haribu takribani asili mia 85% za Airforce ya Ukraine, hivi sasa Russia ina uwezo wa kufanya lolote kwenye anga la Ukraine by flying their fighter planes and bombers at higher altitude ili kukwepa shoulder fired MANPAD,kitu kinginev Russia haitumii airforce sana nchini Ukraine anaziweka/park kwenye hangar ili zije kutumika kama NATO/USA watahamua ku-attack Russia whether by accident au delibarately - ndio maana Russia haitumii sana ndege zake kwenye vita ya Ukraine badala yake anatumia:
1) Missiles.
2)Artillery.
3) MRLS.
4) DronesKamikaze/Kalashnikov.
5) MANPAD.
6) Konnet ATGM.

Hizo ndio zilikuwa sababu zangu za kusema jeshi la Russia aliwezi kuzingirwa kirahisi wakati wana helicopter gunships, Sukhoi 24 tank buster na fighter bombers and jetfighters chungu mzima that is what I meant, lakini nyinyi badala ya kuleta maoni mbadala mna target members fulani kwenye forums hii hasa wenye maoni mbadala ambao si bendera fuata upepo, mna waporomoshea maneno ya shombo, wakati mwingine mnawatukana kabisa, mnafikia mpaka hatua ya ku-question akili za watu kama ziko sawa, just to get even bila sababu zozote za msingi zaidi ya EGO zenu za ajabu - sasa swali ni: kawapa nani mamlaka ya ku-run JM as if nyinyi ni kama ma-share holders-yaani forums nzima imekuwa turned up side down and inside out!! Mvuto wa zamani wa JF umeanza ku-decay exponentially kabisa kutokana na unbecoming behaviours zenu.
Maneno mengi yasiyokua na mantiki ushabiki tuu na tenzi za mahaba
Ni ukweli kuwa Russia inaweza fanya lolote kwenye anga la ukraine kwa sasa ? Jiulize ndege ngapi na helcopter ngap zimedondoshwa had sasa.
Jiulize ni makombora mangap ya Russia yamedunguliwa hadi sasa?
Drone ngap zimedunguliwa had sasa?

Kulingana na data kutoka Global Firepower, VKS - jeshi la anga la Urusi - ni la tatu kwa ukubwa ulimwenguni, likizidiwa tu na zile za Amerika na Uchina.
Mwanzoni mwa mzozo, Moscow ilikuwa na ndege za kivita 1,391 (ikilinganishwa na 132 za Ukraine) na helikopta 948 (Waukraine walikuwa na 55 tu).
Lakini jeshi la ukraine na uchache huo wameweza kulinda anga lao kwa zaid ya asilimia70.
Twende kwenye point kumiliki anga tafsiri yake ni kuweza kurusha ndege na helcopter bila kuwa na upinzani wowote wenye madhara.Leo hii Russia hawez peleka ndege yake ukrainne au helkopter kadhaa zikarud salama , ila wewe kimahaba unadai umemiliki anga,
Ukraine anarusha ndege zake na helkopter ,kimahaba unadai unamiliki anga.
Rada zenu na mifumo yenu ya kisasa ya kuzuia makombora inalipuliwa kirahisi kimahaba unatuambia unamiliki anga.
Mkuu mahaba weka chini acha maneno mengi hii vita siyo rahisi kwa russia kama unavyorahisisha .
Hii vita imemgharimu puttin sana na kumvua nguo .
Nikwambie wazi tuu US kamwe hatokubali kushindwa hii vita ,US wa vietnam siyo huyu aliyejiimarisha duniani kote kijeshi,kiuchumi na kisiasa.
 

Russia’s oil power ‘will never return,’ the IEA says. ‘The rupture has come with a speed that few imagined possible’​

Vivienne Walt
Thu, October 27, 2022, 7:00 AM·3 min read 0:17
7:46

Oil market facing increased volatility from ‘dueling factions’: Strategist
who is the senior energy trader
over at CIBC Private Wealth US.
Even as Russian missiles pound Ukraine, shattering about a third of Ukraine’s electricity grid and leaving its cities and towns in ruins, President Vladimir Putin has already lost the war in one crucial respect: Russia’s huge clout in global energy supplies—which it built up over decades—is shrinking drastically, probably forever.
That’s the assessment of the International Energy Agency (IEA), the Paris-based organization comprising the world’s biggest producing and consuming nations, in its yearly World Energy Outlook, out on Thursday.
“The rupture has come with a speed that few imagined possible,” the IEA says in its 524-page report, which lays out three different scenarios for the decades ahead, depending on whether major countries stick to their green-energy commitments. “Russian fossil fuel exports [will] never return in any of the scenarios…to the levels seen in 2021,” it says.
 
Huu ni Uzi wa tatu kuhusu Putin nachangia usiku huu. Yote imeletwa mipya wa kwako nachangia saa Tisa na dk ishirini na nane usiku. Putin ana wafuasi ambao hawalali kweli nimeamini hawamuwezi. .

Angalia wafuasi wote wa Ukraine na America wanaota mda huu. Tena wameenda kulala bila kuoga na shida hii ya maji. .

maji hoye
 
Huu ni Uzi wa tatu kuhusu Putin nachangia usiku huu. Yote imeletwa mipya wa kwako nachangia saa Tisa na dk ishirini na nane usiku. Putin ana wafuasi ambao hawalali kweli nimeamini hawamuwezi. .

Angalia wafuasi wote wa Ukraine na America wanaota mda huu. Tena wameenda kulala bila kuoga na shida hii ya maji. .
Hahahahaha
Mkuu sasa unadhani dunia itaendelea kuwa salama kwa hawa washabiki wa vita wanavyopambanisha team zao?
 
Si aondoe majeshi ndani ya Ukraine... aache upumbavu wake alishashitukiwa kitambo anaongea vizuri alafu vitendo viovu anafanya chini ya kapeti...
Aondoe ili Globalists waweke majeshi yao Ukraine waendelee kumzunguka zaidi au sio?
 
Hao Warusi walikua na kanisa lao likiongozwa na Papa wao mjini constatinopo wakavamiwa wakapigwa na othoman empire wakapokonywa mji wao na kanisa lao likabadilishwa na kuwa msikiti mpaka Leo upo.

Warusi wakasogea Moscow wengne wakasogea maeneo mmengne ya ulaya baada ya miaka mingi kupita othoman empire ikabadilika na kuitwa uturuki Kwa sasa.

Kiufupi constatinopo ilikua Jimbo la Roma ilivotawala dunia warusi ni sehemu ya waroma ilikua Dola moja. sasaivi Russia inataka kupitia Crimea na Ukraine badae Waingie uturuki kuchukua kanisa lao.

Wakichukua kanisa lao labda ndio watatulia.

Roma na Russia ni ndugu wanatumia mifumo ya papa na walitawanyishwa kipindi cha othoman empire(uturuki) iliyotawala eneo kubwa la ulaya kipindi iko.
 
Mwamba Vladimir
Wenye akili tunajua wewe ni Simba dume

Allah Akuweke salama....Wajinga hao mashoga wa western fukuza..piga sana watuheshimu
 
Hao WA Rusia walikua na kanisa lao likiongozwa na Papa wao mjini constatinopo wakavamiwa wakapigwa na othoman empire wakapokonywa mji wao na kanisa lao likabadilishwa NA kuwa msikiti...
Hawakutawanyishwa na Uturuki, Constantinople na Roma walipishana katika kikao cha Nircea, Mwaka 300 baada ya Yesu, kuhusu Utatu.

Maasikofu wa Magharibi wakaachana na maasikofu wa Mashariki. Kuanzia Ugiriki, Ukreine hadi Moscow wakafuata kanisa la Othordox la Mashariki.

Miaka ya 1100 hadi 1400 ndio Kurikua na vita na Ottoman na Ottoman akateka Constantinople (Instanibul ya leo) na kugeuza kanisa kuu la Hagia Sofia kuwa msikiti. Papa alituma vikosi kutoka kwa watawala wa Ulaya kuwasaidia wa Orthodox na Yerusalem, baada ya muda lakini haikufanikiwa(Vita vya Msalaba i, ii, na iii).

Kanisa la Orthodox pia limegawanyika, la Ugiriki linafuata mfumo wa Ugiriki, la Ukreine linafuata Ukreine, na la Moscow bado linafuata mfumo wa Constantinople.
 
Naunga mkono hoja, Kila taifa lijikite kwenye mambo yake. Mambo ya kuulizana kwann nchi yako haisapoti wapenzi wa jinsia moja yafe mara moja. Na Putin naye aheshimu mipaka ya nchi nyingine.
 
Kwanini hakusema yote haya mwaka jana au juzi?
Kwann sheria za kupinga ushoga ndio zinapitishwa saivi urusi?
Tumia akili wewe Muafrika.
Putin anajua akifanya hivyo atapata support kubwa ya middle east na China.

Na lengo lake hapa hasa sio kupinga ushoga, lengo lake ni kupata support kama ikitokea vita ya WW3
Kwahiyo wewe ume mind Putin kuwakandia nyie wa rainbow
 
Back
Top Bottom