Vitalis Konga
Senior Member
- Sep 22, 2018
- 127
- 231
0403AM Napita tuu
Maneno mengi yasiyokua na mantiki ushabiki tuu na tenzi za mahabaZungumza mambo ya kuelimisha watu yaani an independent analysis kuhusu mwenendo mzima wa vita unavyo kuwa conducted pamoja na maoni yako baada ya kupitia sources ambazo ni very
reliable na sio tabloid paper sources hicho ndicho kinacho takikana ili watu wapewe habari/taarifa za kuaminika, kwa bahati mbaya naona mwenzetu badala yake unakimbilia ku-manufacture "tirades" tuuu zisizo kuwa na mantiki hata kidogo - mara ooh Warusi wa Buza,mara ooh Warusi wa Magomeni - mambo ya kitoto toto tu na ku-copy copy na ku-paste kutoka kwenye highly questionable sources, mnashindwa hata kutofautisha between CGI generated video clips and digitally manipulated photos, nyinyi mnadhani vyote hivyo ni real stuff, halafu mnakwenda mbali zaidi mnazijengea hoja, just emulating Zelensky Military propaganda to the letter!!
To drive point home, kuna sehemu nilicommet kwamba si rahisi jeshi la Zelensky likazingira jeshi la Urusi wakati Urusi ina miliki formidable Air force, badala ya kuni hoji na maanisha nini naona mwenzetu badala yake unasema haiwezekani, mbona Urusi imeshindwa kumiliki anga la Ukraine - unacho sahau ni kwamba Urusi amekwisha haribu takribani asili mia 85% za Airforce ya Ukraine, hivi sasa Russia ina uwezo wa kufanya lolote kwenye anga la Ukraine by flying their fighter planes and bombers at higher altitude ili kukwepa shoulder fired MANPAD,kitu kinginev Russia haitumii airforce sana nchini Ukraine anaziweka/park kwenye hangar ili zije kutumika kama NATO/USA watahamua ku-attack Russia whether by accident au delibarately - ndio maana Russia haitumii sana ndege zake kwenye vita ya Ukraine badala yake anatumia:
1) Missiles.
2)Artillery.
3) MRLS.
4) DronesKamikaze/Kalashnikov.
5) MANPAD.
6) Konnet ATGM.
Hizo ndio zilikuwa sababu zangu za kusema jeshi la Russia aliwezi kuzingirwa kirahisi wakati wana helicopter gunships, Sukhoi 24 tank buster na fighter bombers and jetfighters chungu mzima that is what I meant, lakini nyinyi badala ya kuleta maoni mbadala mna target members fulani kwenye forums hii hasa wenye maoni mbadala ambao si bendera fuata upepo, mna waporomoshea maneno ya shombo, wakati mwingine mnawatukana kabisa, mnafikia mpaka hatua ya ku-question akili za watu kama ziko sawa, just to get even bila sababu zozote za msingi zaidi ya EGO zenu za ajabu - sasa swali ni: kawapa nani mamlaka ya ku-run JM as if nyinyi ni kama ma-share holders-yaani forums nzima imekuwa turned up side down and inside out!! Mvuto wa zamani wa JF umeanza ku-decay exponentially kabisa kutokana na unbecoming behaviours zenu.
Huu ni Uzi wa tatu kuhusu Putin nachangia usiku huu. Yote imeletwa mipya wa kwako nachangia saa Tisa na dk ishirini na nane usiku. Putin ana wafuasi ambao hawalali kweli nimeamini hawamuwezi. .
Angalia wafuasi wote wa Ukraine na America wanaota mda huu. Tena wameenda kulala bila kuoga na shida hii ya maji. .
HahahahahaHuu ni Uzi wa tatu kuhusu Putin nachangia usiku huu. Yote imeletwa mipya wa kwako nachangia saa Tisa na dk ishirini na nane usiku. Putin ana wafuasi ambao hawalali kweli nimeamini hawamuwezi. .
Angalia wafuasi wote wa Ukraine na America wanaota mda huu. Tena wameenda kulala bila kuoga na shida hii ya maji. .
Swala la ushoga ni gia yake ya kuwadanganya watu wa ulimwengu wa tatu, hususan wadanganyika kama wewe.Si wanasema atakufa Muda Sio MREFU!?
Angalau anapinga ushoga huyu Jamaa!namsapoti KWA hilo!!!
Je hao wanaosapoti america wanaunga mkono ushoga!!?
Umesoma alichosema, yaani yote hayo wewe umeona ushoga tu??Swala la ushoga ni gia yake ya kuwadanganya watu wa ulimwengu wa tatu, hususan wadanganyika kama wewe.
Aondoe ili Globalists waweke majeshi yao Ukraine waendelee kumzunguka zaidi au sio?Si aondoe majeshi ndani ya Ukraine... aache upumbavu wake alishashitukiwa kitambo anaongea vizuri alafu vitendo viovu anafanya chini ya kapeti...
Zele mwenye kakili
Hawakutawanyishwa na Uturuki, Constantinople na Roma walipishana katika kikao cha Nircea, Mwaka 300 baada ya Yesu, kuhusu Utatu.Hao WA Rusia walikua na kanisa lao likiongozwa na Papa wao mjini constatinopo wakavamiwa wakapigwa na othoman empire wakapokonywa mji wao na kanisa lao likabadilishwa NA kuwa msikiti...
Kwahiyo wewe ume mind Putin kuwakandia nyie wa rainbowKwanini hakusema yote haya mwaka jana au juzi?
Kwann sheria za kupinga ushoga ndio zinapitishwa saivi urusi?
Tumia akili wewe Muafrika.
Putin anajua akifanya hivyo atapata support kubwa ya middle east na China.
Na lengo lake hapa hasa sio kupinga ushoga, lengo lake ni kupata support kama ikitokea vita ya WW3