Bora umechagua ule wimbo waNdivyo tuliaminishwa siku zote kuwa Urusi ya pili, Urusi supapawa, Urusi ndiye komesha la Marekani na mauwongo mengine yote, ila ameumbuka kwa ujinga wake, kapigwa za uso ple Kyev, limsafara likafyekwa, sasa amekwenda kuparamia tumiji twa huko mbali, yaani hata China anachekelea pembeni maana yaani.
Bila Drone za Uturuki kumbe juveline za USA ni mizigo ni sawa na kubeba bomba za kuzibulia mitaro. Ndio maana Uturuki inatunisha msuli nani ajiunge . Uturuki inaupiga USA mapemaaaaMbona walishashinda kitambooo.. ile kwamba imemchukua Urusi zaidi ya siku 100 na Zelensky bado ndiye rais wa Ukraine, huo ni ushindi mkubwa sana, licha ya hasara yote aliyopata Urusi na anayoendelea kupata, supapawa la hovyo sana, sijui kwanini waarabu na waajemi walikua wanalitegemea.
Ni dhahiri sasa hivi dunia tumeanikwa vibaya sana, Marekani ameachwa bila mbabe.
Hongera kwa Ukraine kushinda Kyeiv japo wamegundua mass grave Russia walipoondoka.Sikujua umuhimu mpaka pale ilimshinda Mrusi ndio nikaja kuipa heshima sana.
Anajielewa huyu kweli?
In Kiev, they decided to "return" Crimea by force.
Zelensky's representative for Crimea, Tasheva, said that Kiev's approaches to the return of Crimea had changed after February 24. Now they want to achieve this by military means.
NATO wanaumia sana kuona wanachohisi Russia hana inakuwa anacho na zaidi."Russia ni kama time travel"
Aisee Kila siku wanawakuta wako mbele TU.
LoL !
Shangazi una moto si wa nchi hii...
Umenifanya niwaze sauti yako, JF inabidi waweke Voice Note Option. Hilo shangwe lingesindikizwa kwa sauti lingekuwa ni mouuutooo ha ha h!
Duhkorintho 6:9 [9]Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
Ila mwamba wayahudi waliopo Urusi wako kule mashariki ya mbali kwenye jimbo la Jewish Autonomous Oblast maarufu kama JAO.ITAMBUE URUSI KUHUSU WAYAHUDI
Leo nimeona nijaribu kueleza kidogo kuhusu uhusiano wa Urusi na Wayahudi. Maana wapo wakenya wengi humu wanataka kupotosha jamii. Huenda kwa makusudi au kwa kutokujua.
Kwa kipindi kirefu sana tangu utawala wa Roman Empire wayahudi walisambaa sehemu mbalimbali. Walikimbia kutoka kwenye nchi wanayoishi na kwenda sehemu mbalibali duniani.
Asilimia kubwa ya wayahudi walienda Russia Empire, German na Sehemu zingine za central Europe.
Tangu kipindi cha Peter The great wa Russia Empire wayahudi waliweza kupokelewa kwa mikono miwili huko Russia. Walipewa eneo liitwalo PALE OF SETTLEMENT. Unaweza kwenda kusoma kwa kujua zaidi.
Pale of settlement ilikuwa inajumuisha New Russia (Novorossiya). Hilo eneo ndio mapambano yanokoendelea sasa.
Baada ya vita vya kwanza vya dunia Urusi ndio nchi ya kwanza kutengeneza State of Israel ndani ya Urusi. Na eneo hilo mpaka sasa lipo na linakaliwa na Wayahudi.
Wapo watu wanadhani kwamba Urusi ni nchi ya kiislam. Na mshangaa sana mtu huyo. Majority ya warusi ni wakristo wa Orthodox. Huenda watu hawa kutoka kenya hawasomi historia ya dunia. Zaidi sana wana endekeza ukabila.
Duh... we sio UPOPO kweliuyo aliqmbiwa aondoke ujraine akajitia kidume ngojq wampige bei kwa urusi maana hana rafik anawezq hata kuwap al shabab silaha waje tanzania wakinukishe tusiingilie io vita
babu na mjukuu
MR MAJANGA na wengineo wote watakaopenda, A warmly welcome will be to Pro-Russians
Link hii hapa t.me/LLSeniors for all discussion of;-
1. Science
2. Economy
3. Geopolitics
4. News "Extracts"
5. "The Untold" (Yale mazito ) kwa kujiachia to the fullest.
Akiitekea Dodoma anapata Korosho, Madini ya dhahabu, Tanzanite na Almas. Hadi ndizi na kahawa zipo Dom kwa Mujibu wa fikra zake.Mkuu wewe unataka kuiteka DODOMA ili upate Zabibu?
Ambao mko upande wa urusi mnawezaje kuwa kwenye same side na mtu wa namna hii?Hongera kwa Ukraine kushinda Kyeiv japo wamegundua mass grave Russia walipoondoka.
Hongera kwa ushindi pamoja na kesi KUBAKWA WAKE ZENU na Russia na sasa mnaadaa kesi.
Russia Noma wamewatoa marinda wanaume kwa wanawake wa Ukraine
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
"Dogo" ila bado unajiachia kwa kuibia ibia
Ata mind kuitwa dogo ha ha ha
I like this statement, ndivyo inavyotakiwa kuwa kiubinadamu....... mjapani na mjerumani na mchina india mmarekani na congo na zambia wote watajirike kutokana na kazi na bidhaa walizoipatia dunia.📝 The economy of imaginary entities is being replaced by the economy of real assets, Putin said.
@LLSeniors
I like this statement, ndivyo inavyotakiwa kuwa kiubinadamu....... mjapani na mjerumani na mchina india mmarekani na congo na zambia wote watajirike kutokana na kazi na bidhaa walizoipatia dunia.
Ishu ya kuprint, tena sio kuprint ilikuwa ni kama kupost au kuupdate status ya hela tu ni kuwafanya wengine wote watumwa wako.
A legend, A hero... Aseee ... Pro-NATO nyie nyie nyieee... Haya bn
View attachment 2263092