mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,066
- 132,522
Na katuni zake zinafikirisha!maana yake jamaa hafwati utaratibu wa kusafirisha mtu,anawaburuta!lakini hawana namna ingine wavutwe mpaka akili ziwakae sawaHiyo picha ya mwisho nimecheka sana naona jamaa anapelekwa mpelampela
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii verse imeimbwa mara nyingi sana...Hakuna mwenye akili ya Kesho Huko..
Mambo ni leo leo Tu, tena sasa ivi...
Huyo Polepole sijui anakieneza chama wapi, wakati wenzie walikuwa hawalali busy field, yeye anajifungia kariakoo....
CCM mfu itaaibika not so long.... It's about time
mbona Pole pole anazunguka nchi nzima kuwajenga viongozi wawe wajamaa na wazalendo...Hakuna mwenye akili ya Kesho Huko..
Mambo ni leo leo Tu, tena sasa ivi...
Huyo Polepole sijui anakieneza chama wapi, wakati wenzie walikuwa hawalali busy field, yeye anajifungia kariakoo....
CCM mfu itaaibika not so long.... It's about time
Na Mimi nairudia..... Mnadhani hii nchi ni ya kajamii kadogo Sana cha hapo LumumbaHii verse imeimbwa mara nyingi sana...
Sawa, maana yake Viongozi wenu ni incompetent......mbona Pole pole anazunguka nchi nzima kuwajenga viongozi wawe wajamaa na wazalendo...
Mkuu acha kuigaHiyo picha ya mwisho nimecheka sana naona jamaa anapelekwa mpelampela
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app