Ambilikisye anna
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 561
- 501
Kipanya simuwezi lohh
Mkuu umenisaidia kuelewa kwa hakika kabla sikuwa nimeng'amua chochote.
Ahsante Sana!
Nimekuelewa mkuu, tafsiri mrua kabisaa au wewe ndo kipanya mwenyewe vipi!!!?Iko hv. Magufuli anahangaika kujenga au kusafisha saiti (ku-clear site) lakini kuna mitoto au watu wanacheza juu ya kifusi na wengine wamepanda na wanacheza kwenye kijiko sasa badala ya yeye kuendelea na kazi anabaki kukimbizaa nao.
Kwa ufupi ni kwamba hawaelewi ni nini anachofanya wanadhani ni mchezo tu.
My Note. HILI NI KWELI na Masoud ni jinias kweli.
You are jinias hahahahhhAisee nimegundua lingine..angalia gari lenyewe halina dereva yaani dereva ametoka kwenye stering yupo nje akiwa onya watu( kushika fimbo ni lugha ya kuonya) alafu watu wenyewe hawajali lakini walio nyuma ya hilo gari wamebeba ndoo (ni ishara ya kunufaika yaani kuchota mali) na wengine hawana habari wapo nyuma lkn wamekaa kama mazuzu hahaha hii picha inahitaji akili sanaaa
Asante mkuuThe Bulldozer hawamsikilizi tena. Hawamwogopi, anapiga nduru wampishe ndo kwanza wanapiga sarakasi.
Wengine wamepanda kabisa tingatinga, ila wachache wanachota mafuta.
Sijui mwisho wake.
Waliopo kwenye bulldozer wanafanana rang na dereva hivyo inaonesha ni watu wa kundi moja sio waliotoka chini wakadandiaBulldozer hasikilizwi tena !!
Katoka kwenye hilo dude kuwaambia watu wampishe ... Ndo kwaaanzaaa wanaruka sarakasi ....wengine wameamua wapande kabisa kwenye bulldozer kuonyesha hawamwogop hawa ndo balaa
Sio hivyo tuu jamaa ana foka foka .. Ni kama washamzoea hivi !! Hii ndo balaa![]()
![]()
Nitakua nyuma yakontakuwa hapo mbele kabisa
Kuanzia leo naanza kufatilia comment zako!! Maana umetafsiri vizurIko hv. Magufuli anahangaika kujenga au kusafisha saiti (ku-clear site) lakini kuna mitoto au watu wanacheza juu ya kifusi na wengine wamepanda na wanacheza kwenye kijiko sasa badala ya yeye kuendelea na kazi anabaki kukimbizaa nao.
Kwa ufupi ni kwamba hawaelewi ni nini anachofanya wanadhani ni mchezo tu.
My Note. HILI NI KWELI na Masoud ni jinias kweli.
Nimeelewa hivi.Mi nimeona Kifusi na Tingatinga!View attachment 735969
Kweli uoni ni macho, kila mtu ana yake! Kuna aliyekaa na kunyanyua mikono hapo kweli?Huyo aliyekaa kwenye Hilo bulldozer huku akiwa amenyanyua mikono anashangilia lazima atakuwa ni Bashite tuu!
Hapana ni kinyume chake wananchi wanaanza kufaidi matunda huku majizi yakilala mbeleHii nilivyoelewa mm ni kwamba wananchi wanzidi kusukumwa mbaaali na hilo li tingatinga na huyo operator aliye juu ya hilo tingatinga na anatoa maelekezo na kuwafukuza wazidi wasogee huko
Ndivyo inavyokuwa hata ktk Familia baba ukiwa Mali Sana hufikia hatua watoto hukudharau wewe utapiga kelele wao hawakusikilizi tena wao wafuata yaoThe Bulldozer hawamsikilizi tena. Hawamwogopi, anapiga nduru wampishe ndo kwanza wanapiga sarakasi.
Wengine wamepanda kabisa tingatinga, ila wachache wanachota mafuta.
Sijui mwisho wake.