SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,975
- 75,059
Huwezi kuona kwa vile akili zako zinashikiliwa na chakubanga.Ni mtazamo wangu, kipanya sioni creativity yake ktk vikatuni vyake. Kingo is far ahead of him.
Huwezi kuona kwa vile akili zako zinashikiliwa na chakubanga.Ni mtazamo wangu, kipanya sioni creativity yake ktk vikatuni vyake. Kingo is far ahead of him.
Chakubanga amewaharibia future vijana wa lumumbaHuwezi kuona kwa vile akili zako zinashikiliwa na chakubanga.
Shh!...hahaha na hakuna kuuliza
Shh!...Nimekumbuka siku Mwijage anahojiwa kwa mara ya kwanza kwa nini anafikiri Rais amemchagua, akatoa jibu simple na clear kwa lafudhi ya kihaya "kwa sababu niaweza"
Only happening in Shithole countryTunaendelea kukupa kongore mwana katuni KipanyaView attachment 722356
Anaweza maigizo?Nimekumbuka siku Mwijage anahojiwa kwa mara ya kwanza kwa nini anafikiri Rais amemchagua, akatoa jibu simple na clear kwa lafudhi ya kihaya "kwa sababu niaweza"
Siyo wa mchezo mchezoWahahahaaa!!![]()
![]()
![]()
![]()
masoud noma aseee
Eti mtoto anaambiwa Shii' manaake asiseme chochote aache waziri aendelee tu kudanganya!!Siyo wa mchezo mchezo
