yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,906
Ona sasa, sijasema haeleweki! Nimesema hana ubunifu. Duh!
Mbona dikteta uchwara sio mbunifu
Ona sasa, sijasema haeleweki! Nimesema hana ubunifu. Duh!
Ona sasa, sijasema haeleweki! Nimesema hana ubunifu. Duh!
Lugha ya kizungu sio tatizo kwangu, kama umeelewa nilimaanisha nini, wewe unayejifanya kukosoa sehemu ambayo mwenye akili anajua ni typing error tatizo ni lako na akili yako fupi, wakosoaji wa lugha wengi kwao lugha ndio utata. Sijawahi waona watu ambao wana ujuzi mzuri wa lugha hata humu jf wakiwa bize na kusema fulani lugha haiko sawa, kwa kusoma flow na logic ya alichoandika, na structure ya lugha, utatambua ni typing error au kapitiwa au lugha haiko sawa, sasa wewe endelea kupambana na lugha.barafuyamoto UWE UNAANDIKA KISWAHLI.. Sasa ona umejiaibisha, eti 'kipanya syo creativity'
Sema kipanya syo 'creative'
Hata hvyo, wewe na kipanya nani creative?
Hata akisifia au kukosoa, ubutu wake ktk ubunifu uko pale pale.Ata kama anawasema ccm appreciation ni muhimu.
Hata akisifia au kukosoa, ubutu wake ktk ubunifu uko pale pale.
Una sifa zote za UKAMANDA, kapime macho. Huoni vizuri.JIWE AGAIN
Ni mtazamo wangu, kipanya sioni creativity yake ktk vikatuni vyake. Kingo is far ahead of him.
Wazazi wako ni majirani zangu, sijui wajua hilo?Kama wewe ulivyozungukwa na wajinga
Shikamoo barafuyamoto, kama ni kuua wadudu wakorofi shambani, hapo konokono umemmwagia chumvi, yaani umemyeyusha kabisa, sijui nimeeleweka??Wazazi wako ni majirani zangu, sijui wajua hilo?
Kwani wewe umeshafunguliwa kutoka hapo chumba namba 6 na Polepole?Usiwe kisiwa, vuka boda kupitia hata mitandaoni. Utajifunza mengi, tatizo lako nolionalo ni umezungukwa na kuta za ufipa, haujipi nafasi ya kufikiri nje ya hizo kuta.
Lumumba hakuna mwenye kuuushughulisha ubongo mmekalia majungu kwa ajili ya kupewa buku 7Ona sasa, sijasema haeleweki! Nimesema hana ubunifu. Duh!
Kina polepoleKama wewe ulivyozungukwa na wajinga
Anabuni uongo tuMbona dikteta uchwara sio mbunifu
Hujui kuwa huyo ni muhutu?barafuyamoto UWE UNAANDIKA KISWAHLI.. Sasa ona umejiaibisha, eti 'kipanya syo creativity'
Sema kipanya syo 'creative'
Hata hvyo, wewe na kipanya nani creative?
Fent fodLugha ya kizungu sio tatizo kwangu, kama umeelewa nilimaanisha nini, wewe unayejifanya kukosoa sehemu ambayo mwenye akili anajua ni typing error tatizo ni lako na akili yako fupi, wakosoaji wa lugha wengi kwao lugha ndio utata. Sijawahi waona watu ambao wana ujuzi mzuri wa lugha hata humu jf wakiwa bize na kusema fulani lugha haiko sawa, kwa kusoma flow na logic ya alichoandika, na structure ya lugha, utatambua ni typing error au kapitiwa au lugha haiko sawa, sasa wewe endelea kupambana na lugha.
Au Kwa kiswahili kwako ndio hmaga typing error??
P.s: Ni wapi nilikosea?? Mkurupukaji wewe! Sehemu iliyokutoa povu nimesema, SIONI CREATIVITY yake, sio SYO CREATIVITY. Una matege ya macho mkuu.
Mtaelewana tu wana lumumbaShikamoo barafuyamoto, kama ni kuua wadudu wakorofi shambani, hapo konokono umemmwagia chumvi, yaani umemyeyusha kabisa, sijui nimeeleweka??
Wee jamaa akili zako ni shithole kabisa, kila kiingiacho kwako unadhani ni mavi tu...Mtaelewana tu wana lumumba