Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Daaah sasa mbona habari nyenyewe imekaa kiuchoyo tu haieleweki funguka mkuu
Kweli hujui kule NIDA alisave, E-Pasport alisave, na wapi kwingine? Hata kwenye Bormberdia alisave, sasa sijui anaziweka wapi?
 
Hamna kinacho save.wa hapa ni propaganda tuu.ndio maana hataki mtu ahoji.

Media zote kaweka mfukoni hakuna wakuhoji.
 
Acha yoga unatakiwa ujiamini we mwanaume unakataje tamaa mapema hivyo
Dah kila nkijaribugi kubonyeza kitufe kilichoandikwa Pm naishiaga kuandika subject tu........ ......Kwenye body maneno yote huniishia
 
Shukrani za pekee ziendelee kumfikia mchora katun maarufu kama Kipanya kwa kuendelea na fimbo zake
ddc6d39b9b91cf0642bd51e04ba2b379.jpg
Hela za watumishi hewa
 
Back
Top Bottom