Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Uyo mweupe ni msimamizi wa uchaguzi na uyo mwenye kaki ni police. Msimamizi kaiba sanduku la kura. Police kamtoa mbio had kamkamata na kumrudisha. CCM washangilia.
 
Yani kama askali wange kuwa wana weredi huu wa kukamata mali na kuacha waalifu wakienda ili lingekuwa jambo zuri...

askali anarudi na sanduku la kura huku wananchi wakimshangilia, huku askali akimuacha mhalifu akienda... pia ni pale mpiga kura haji kama mhalifu bali kama mpiga kura alafu ghafla anageuka mhalifu...
 
Uyo mweupe ni msimamizi wa uchaguzi na uyo mwenye kaki ni police. Msimamizi kaiba sanduku la kura. Police kamtoa mbio had kamkamata na kumrudisha. CCM washangilia.
hapo amerudi na sanduku la kura hakurudi na mhalifu...
 
Mhalifu sio msimamizi bali ni mpiga kura... kwa kuwa amesimama ktk foleni ya kwenda kupiga kura... ndio maana aliachwa mpaka kafika katika sanduku na kucheza nalo sege danse...
 
Mtu asiyejuliana alikwapua box la kura na kukimbia nalo askari polisi akamkimbiza huyo mtu kumfuata alikoelekea baadae askari polisi akardu na box la kura (ambalo HAIJULIKANI km ndo lile alilokwapua jamaa ama ni box jingine TOFAUTI)

[emoji117] Box halali liliondolewa, polisi kard na box kwa tafsri kuwa ameliokoa box lililokwapuliwa wakt sio lile, box lilibadilishwa.
 
Ilitokea juzi kwenye uchaguzi uko kinondoni, kuna mtu alikuja kuchukua box likiwa na kura baadae likarudishwa.
 
Uyo mweupe ni msimamizi wa uchaguzi na uyo mwenye kaki ni police. Msimamizi kaiba sanduku la kura. Police kamtoa mbio had kamkamata na kumrudisha. CCM washangilia.


By the time anarudisha sanduku majibu yameshapatikana na mshindi kashatangazwa.
 
Police analinda kura ghafla mtu kabeba box na kukimbia nalo police kamkimbiza hadi kwenye nyumba "isiyojulikana" kisha Police katoka kwenye nyumba na box bila mwizi kalirudisha kituoni wapiga kura wanashangilia bila kuhoji mwizi yuko wapi
UJinga wa Watanzania.
 
Hivi Mtulia ana amani kabisa moyoni mwake kwamba ameshinda?hata fika mbali mpeni muda mfupi tu atauacha huo ubunge
 
Polisi hapo alikuwa hamkimbizi ilikumkamata, alikuwa anampa ulinzi dhidi ya raia ili kufanikisha mpango mzima.
 
Sasa hatari ipo kwenye hizo rank za V..kuelekea very disturbin week.
7d34598f321c8e8042fca3e911e736f8.jpg
 
Back
Top Bottom