Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

df9a283fa33d695163e98b9b594d0e3e.jpg
 
hiyo ndio "watch out, not to that extent" aliyoisema bwana yule kipindi kile
 
JF ishawekwa kwapani, we anzisha uzi kusupport kile anachokifanya dada wa taifa, dakika sifuri tu uzi unakua blocked na ban juu unaweza kupata ukijidai kulalamika.
Ndio maana kila nikiufungua ule uzi wa dada wa taifa nakuta mambo ni Error!!! Sasa tukaishi wapi km nchi yetu ya amani JF nayo imetekwa?
 
HAHAHA MI NIMEMWELEWA HAHAHA HALAFU ALSEMA TUSITUMIE AKILI NYNG KUTAFSIRI KATUN ZAKE.

Hapo polisi anayeaminiwa kulinda usalama wa raia na mali zao ndye kashriki wizi wa box la kura..
 
Police analinda kura ghafla mtu kabeba box na kukimbia nalo police kamkimbiza hadi kwenye nyumba "isiyojulikana" kisha Police katoka kwenye nyumba na box bila mwizi kalirudisha kituoni wapiga kura wanashangilia bila kuhoji mwizi yuko wapi
 
Back
Top Bottom