Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

tapatalk_1515325543530.jpeg
 
Leo nimekereka sana. Katika kipindi cha Power Breakfast wamemualika mtaalamu aliyekuwa anaelezea kitabu chake kinachohusu mambo ya Ufahamu wa binadamu, Masoud Kipanya anaongea sana, Hamuachii mgeni (mtaalamu) aelezee issue kiunagaubaga.

Anamuuliza swali mtaalamu akianza kutiririka anamkatiza. Kwa wageni wengi hapo PB anawafanyia hivyo lakini leo amezidi sana. Hii kujifanya ujuaji inamuharibia sana, ajifunze kuuliza swali na kusubiri jibu ikiwezekana huyo KP wamuandalie maswali.

Tunakuomba Babra ambaye ndio msimamizi wa kipindi hiki(ingawa leo haupo kwenye kipindi) mfunze KP kukaa kimya baada ya kuuliza swali.
 
Leo nimekereka sana. Katika kipindi cha Power Breakfast wamemualika mtaalamu aliyekuwa anaelezea kitabu chake kinachohusu mambo ya Ufahamu wa binadamu, Masudi Kipanya anaongea sana, Hamuachii mgeni(mtaalamu) aelezee issue kiunagaubaga. Anamuuliza swali mtaalamu akianza kutiririka anamkatiza. Kwa wageni wengi hapo PB anawafanyia hivyo lakini leo amezidi sana. Hii kujifanya ujuaji inamuharibia sana, ajifunze kuuliza swali na kusubiri jibu ikiwezekana huyo KP wamuandalie maswali. Tunakuomba Babra ambaye ndio msimamizi wa kipindi hiki(ingawa leo haupo kwenye kipindi) mfunze KP kukaa kimya baada ya kuuliza swali.
Lakin radio za wazee kama nyie sizipo uwe unasikiliza radio za wazee mfano Tbc FM tatizo nyie wazee mnalazimisha Ujana.
 
umeongea jambo la msingi lakini nimesoma comments za watu nikashangaa na kugundua umeongea jambo ambalo uelewa wa members wengi kwao ni zito. wao wameelekea mbali ambako sidhani kama ndiko ulikokuwa unataka waelekee. wameleta mahaba na hawajaweza kufikiria logically au reasonably. pole sana JF kuna vitoto vya form four ving sana kwa sasa vinasubiri matokeo na vingine vili fail.so unapoandika kitu ambacho kinatumia tu common sense wao wanakifanya kama ni kitu kikuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuubwa sana. so tegemea majibu ya kipuuzi toka kwao.

Leo nimekereka sana. Katika kipindi cha Power Breakfast wamemualika mtaalamu aliyekuwa anaelezea kitabu chake kinachohusu mambo ya Ufahamu wa binadamu, Masudi Kipanya anaongea sana, Hamuachii mgeni(mtaalamu) aelezee issue kiunagaubaga. Anamuuliza swali mtaalamu akianza kutiririka anamkatiza. Kwa wageni wengi hapo PB anawafanyia hivyo lakini leo amezidi sana. Hii kujifanya ujuaji inamuharibia sana, ajifunze kuuliza swali na kusubiri jibu ikiwezekana huyo KP wamuandalie maswali. Tunakuomba Babra ambaye ndio msimamizi wa kipindi hiki(ingawa leo haupo kwenye kipindi) mfunze KP kukaa kimya baada ya kuuliza swali.
 
sioni tatizo la masood....tatizo linawezekana likawa tofauti ya uwezo wa kufikiri na kuchukulia mambo....ni mtazamo tu!
 
Aache utangazaje kazi imemshinda...na wakifungiwa kituo au kutozwa fine watasema wameoonewa
 
Babra yupo humu? ?

umeongea jambo la msingi lakini nimesoma comments za watu nikashangaa na kugundua umeongea jambo ambalo uelewa wa members wengi kwao ni zito. wao wameelekea mbali ambako sidhani kama ndiko ulikokuwa unataka waelekee. wameleta mahaba na hawajaweza kufikiria logically au reasonably. pole sana JF kuna vitoto vya form four ving sana kwa sasa vinasubiri matokeo na vingine vili fail.so unapoandika kitu ambacho kinatumia tu common sense wao wanakifanya kama ni kitu kikuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuubwa sana. so tegemea majibu ya kipuuzi toka kwao.
Nimependa Comment yako, watu wana mahaba na vitu hata vikikosewa wao wanaamin na kuona n sawa tu.
 
ARV UMESEMA KWELI. WASIKIKIZAJI WA REDIO NA WATAZAMAJI TUNATAKA KUMSIKILIZA MTAALAMU TUELIMIKE. SASA KAMA MTAALAMJ ANAKATIZWA KATIZWA NA MTANGAZAJI, LENGO LA MSIKILIZAJI/MTAZAMAJI LA KUELEMIKA LINAPOTEA. MASOUD KIPANYA NA WATANGAZAJI KAMA YEYE WAJIREJEBISHE.
 
mi mwenyewe nmefuatilia kipindi..kipanya ana maswali yake fikirishi ambayo huwa anajaribu kuyaweka kiutani ili ujumbe ufike ni kama pale alipouliza "je mwizi huwa anatumia akili kuiba na kumwacha mtaalam ajibu" ukisema umwachie mtaalamu kila kitu sasa unadhani atamaliza yote?ukitaka pata zaidi kanunue kitabu chake elfu 10 tu au mpigie simu ...zile porojo na pumba za kipanya ndio zinazomfanya jamaa awe well paid presenter pale clouds...keep it up broo acha watu wakuone kama umewehuka ila uwezo wako unajulikana
 
Back
Top Bottom