tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,492
Je aliingilia huo mchezo?Huyo mwenye kisu ni Dr Slaa, yuko pembeni anaangalia mpambano akiwa upande wa John.
Ikionekana John anazidiwa ataingia ulingoni na kisu kwenda kumsaidia
Je aliingilia huo mchezo?Huyo mwenye kisu ni Dr Slaa, yuko pembeni anaangalia mpambano akiwa upande wa John.
Ikionekana John anazidiwa ataingia ulingoni na kisu kwenda kumsaidia
Kweli, halafu angalia rangi ya soksi ya Dr, Slaa. Ameficha U CCM.Wengi wenu humu hamtunzi kumbukumbu, hyo katuni ilichorwa mwaka 2015 katika uchaguzi mkuu, wakati kampeni zikiendelea, ndipo kipindi Dr. Slaa akaitisha mkutano na waandishi wa habari na kumkaanga Lowassa na mchakato mzima wa kumpokea.
Kwa tafakuri ya kipanya inaonekana kipindi hicho cha kampeni Lowassa alikuwa amemzidi mbali sana Dr Magufuli kabla Dr Slaa (silaha) ajafanya mkutano na kumwaga sumu. ikampa power magufuli ya kumdhibiti lowassa..........
Ni kweli kabisa 2015Wengi wenu humu hamtunzi kumbukumbu, hyo katuni ilichorwa mwaka 2015 katika uchaguzi mkuu, wakati kampeni zikiendelea, ndipo kipindi Dr. Slaa akaitisha mkutano na waandishi wa habari na kumkaanga Lowassa na mchakato mzima wa kumpokea.
Kwa tafakuri ya kipanya inaonekana kipindi hicho cha kampeni Lowassa alikuwa amemzidi mbali sana Dr Magufuli kabla Dr Slaa (silaha) ajafanya mkutano na kumwaga sumu. ikampa power magufuli ya kumdhibiti lowassa..........
Umeweza lakini kung'amua ujumbe mzito katika hiyo picha mkuu!!?We kuja tu hivo Kipanya, dah naona hadi kiswahili chetu sisi wakenya anakifahamu vizuri. Huyu jamaa bana! 😀😀😀 Nice one!
Naona kibonzo chenyewe alikichora 30/01/2018, naelewa vizuri mkuu. Ila hiyo siku huyo shetwan alishindwa kabisa!Umeweza lakini kung'amua ujumbe mzito katika hiyo picha mkuu!!?
MK254 and Co wapo ndani ya hiyo matatuuu.
Mbona ni kama namfahamu vizuri tu huyo anayesema 'kuja tu' ? Hehehe 😀Huyo anayeita 'kuja tu' ndiye atatoswa maana yupo penyewe na nyuma ya gari...