Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Obvious hiki ndo kibonzo chake cha mwisho ambacho kimemnyima usingizi mfame wa chattle
2796f9989aca4f7139dea7d597bbcbf4.jpg
 
Ule uzi kuhusu kukamatwa kwa Masoud umefutwa na Mods..nini maana yake?...hajakamatwa?, au ameachiwa?...nchi hii bhana aaah..
UKweli utaendelea kuwa ukweli tu. PIga Hao.

....pia aliyesambaza taarifa . ''AMESAIDIA''

Yatakuwa yalimfika hapaaaaaaaaaaaaa.
 
Ndugu wanajukwaa.,

Vyombo mbalimbali vya habari leo tarehe 02/01/2018 nimesikia vikiripoti kuhusu kutoweka kwa mwanakatuni maarufu, GT mwenzetu Masoud Kipanya, naomba anayejua lolote kuhusu habari hizo atujuze, maana ...
 
Ndugu wanajukwaa.,

Vyombo mbalimbali vya habari leo tarehe 02/01/2018 nimesikia vikiripoti kuhusu kutoweka kwa mwanakatuni maarufu, GT mwenzetu Masoud Kipanya, naomba anayejua lolote kuhusu habari hizo atujuze, maana ...

Upo nchi gani mkuu?
 
Haaaaaaa haaaaa... polee..!! Alipotea bana, ila amepatikana, si unajua siku hizi jiji la Dar limekuwa kubwa sana..!!
Maana nikiwakumbuka kina Saa 8 na juzijuzi ndg Azory sipati amani moyoni nikisikia mtu "amepotea"
 
Back
Top Bottom