Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Hilo ni tatizo la watangazaji wengi wa habari wa kitanzania, kujifanya wanajua kila kitu huku shule hawakwenda.

Vituo vya redio vingi ukitoa vya serikali watangazaji wake hawana shule kabisa, wao wanasema wanaangalia kipaji, hawajui kua utangazaji ni taaluma.
 
Naona wabongo tu wagumu kupokea constructive criticism. Kama anachosema mdau ni kweli ni vyema wanahabari wetu wote wajifunze na kubadilika.
Hilo Tatizo Kp analo sana, yamkini si tatizo, niligundua Jamaa anamuelewa mtu mapema sana na anajisahau akidhani na wote tupo hivo, kiasi kwamba anaweza hata kusahau swali alilouliza na likapotea juu juu kwa sababu ya kumjaza mteja wao mambo mengi kwa wakati mmoja! Huyo mdada wakuitwa Barbra anakaubabe fulani hivi ulonitoa kwenye UsiKilizaji wa kipindi chao.
 
masoud amekuwa jambazi,,ukikutana nae usiku mpitie mbali..
kama si hivyo..atakudhuru .................................................
enzi za wahenga..
 
huyu mtaalamu aitwe tena na atoe elimu kuna mengi naona yapo mambo mazuri ya kujifunza
 
Huwa Zembwela katika watangazi ninao wakubali ni huyo bwana, anajua jinsi ya kuuliza maswali na hasahau kitu, the guy is perfect anafit sana katika SuperMix EA radio....Next ni G. Hando, hao wengine wafuate tu!!
 
Mimi ni shabiki wa KP lakini kuhusu mahojiano kweli KP inaonesha huwa hajiandai na maswali. Ukisikiliza utagundua sehemu kubwa anatumia uzoefu wake kuliko maandalizi (in short maandalizi ni hafifu). Kuchomekea swali wakati mhojiwa anajibu si mbaya kama haiwatoi kwenye mtiririko na maswali ya kuchomekea ndio hunogesha mahojiano na kuleta uhalisia. KP ni very talented lakini nahisi hana maandalizi ya kutosha kabla ya mahojiano kitu ambacho kingeongeza sana ubora wake.
 
1.jpg

2.jpg


Wachora katuni bwana sijui huwa wanafikiria nini?

Sasa kile kisu cha nini nje ya ulingo?
 
Inamaana kama sio Wanafiki kama wilbrod Slaaa round ya pili mchezo ungeisha
 
Hapigani na mshambuliaji wao tu na kwa na kwq sheria halali tu,wanamsubiri ajifanye shujaa wamuonyeshe!!
 
Kisu maana yake baada ya mwenye kijani kupewa ngumi nzito amelala kwa nyota nyota basi akawa kuna mshika anaingia ulingoni kutoa msaada,basi jamaa ameamka anakuja kwa kasi zote mamvi akawa anatumia mbonu ya hebu twende polepole nisikilize kwanza
 
Back
Top Bottom