Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

maana nilisikia Mambosasa akikana kumshikilia, sasa alikuwa kituo gani

Alipotea bana.. ndio hivyo, ila alipatikana ucku, sijui alikosea njia au nn? Jiji la Dar kubwa sana siku hizi.. Kuna wale watu pia wanatumia nguvu za giza, wakikuongelesha au ukakubali kuwapa mkono utawafuata hadi vichochoroni wanakuibia kila kitu..
 
Sinema imetazamwa kabla haijafika dukani. Movi iz ze end
 
GADO naye akiingia nchini ataachwa? Kule sauzi mkulu wa huko aliwahi kuchorwa vibaya sana haitazamiki.Lakini mchoraji aliachwa tu aendelee na uhuru wake wa kutoa mawazo yake.
 
DHANA ya kuchora katuni ni mtiririko wa mawazo kutokana na yanayojiri. Huchorwa kwa njia ya picha ya kuchekesha.Ni mfano tu wa mambo yanayotendeka wakati uliopo.Ni mtazamo na maoni ya mchoraji yanayotoa taswira iliyopo.Mchoraji wa magazeti ya serikali na chama tawala atachora taswira kwa mtazamo wa magazeti hayo.Hizi POLITICAL CARTOON. Mchoraji anakuwa yuko huru kuchora yanayokea kwa kuzingatia sera na mtazamo wa gazeti au tv.Ni mawazo tu
 
Hakuna uhusiano wowote kati ya Kibarua chake cha Uchoraji na kazi anayo fanya hapo akiwa Clouds..
 
Political cartoonist wa Tanzania hasa wa magazeti yasiyo pro-govt wataingiwa na woga wa kuchora mambo ya govt yasiyo sawa.Itabidi wachore kuisifia tu.Upinzani ukichorwa kushindwa poa tu hapo hakuna uchochezi.Hii DHANA YA UCHOCHEZI sasa inatumika vibaya.Kwa nini govt inaonesha inferiority comlex kwa mawazo ya kufikirika tu?
 
raia.jpg
 
Nimekuwa nikipata burudani la aina yake na kupata mwelekeo wa Taifa kupitia vibonzo vya Kipanya ambavyo vimekuwa vikitolewa na gazeti la Mwananchi. Kwa muda sasa sijaviona vibonzo hivyo na kulikosesha gazeti la Mwananchi mvuto uliokuwa nalo!

Natoa wito kwa uongozi wa gazeti la Mwananchi kuvirejesha vibonzo vya Kipanya haraka ili wananchi tuendelee kupata burudani! Ni wazi baada ya chaguzi ndogo kufanyika tungeweza kupata dira ya chaguzi zijazo!
 
Nimekuwa nikipata burudani la aina yake na kupata mwelekeo wa Taifa kupitia vibonzo vya Kipanya ambavyo vimekuwa vikitolewa na gazeti la Mwananchi. Kwa muda sasa sijaviona vibonzo hivyo na kulikosesha gazeti la Mwananchi mvuto uliokuwa nalo!

Natoa wito kwa uongozi wa gazeti la Mwananchi kuvirejesha vibonzo vya Kipanya haraka ili wananchi tuendelee kupata burudani! Ni wazi baada ya chaguzi ndogo kufanyika tungeweza kupata dira ya chaguzi zijazo!
 
Back
Top Bottom