Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

81f50e13609c9164b6de5a8013627eb9.jpg
Hahahahahahaaa huyu masoud ni balaaa!! yahitaji utulize akili ili kuipata tafsiri.
 
Alafu kuna Dada mzuri wa Tanesco anaonekana hapo, nikadhani naye ndio ame comment "tumekusogezea huduma karibu zaidi......"
 
Lumumba hawa hawagusi wsnasubili kuja na majina ƴa usajili wao
 
nimecheka sana,kuna chef wetu pale club africando anaandika mule mule km kipanya
 
Wapo Busy Dodoma Kuhani Mkuu katema cheche..

Yule Dizaini Sadifa yupo anapambana na hali yake..

Aibu sana Rushwa ya Soda kwa wajumbe toka Kagera...
Sadifa kajimix yule. Hakujua kama anatafutwa na jamaaa kitambo. Mnyeti amegawa sana rushwa pale Dom kwa wajumbe ila hakuguswa
 
Sadifa kajimix yule. Hakujua kama anatafutwa na jamaaa kitambo. Mnyeti amegawa sana rushwa pale Dom kwa wajumbe ila hakuguswa
Mnyeti yupo kwenye Kamati ya usajili..

Wanajipanga kwa ajili ya usajili wa Dirisha dogo..

Abramovich hawezi mgusa...
 
mimi sina la kusema ila ccm ni hawahawa tuko nao kitaa ole wa mwana ccm aingie 18 yangu iwe kwa harusI ama Msiba.. atakiona cha mtemakuni
jana tumemzabua mmoja mtaani tukamfukuza kama jibwa hatutaki wakae karibu yetu wachape lapa.... WANAFIKI JITU LINASHABIKIA CCM ILA LINATUOMBA BIA LIKAOMBE MAGOGONI HUKO
 
mimi sina la kusema ila ccm ni hawahawa tuko nao kitaa ole wa mwana ccm aingie 18 yangu iwe kwa haruas ama asiba atakiona cha mtemakuni jana tumemzabua mmoja mtaani tukamfukuza kama jibwa hatutaki wakae karibu yetu wachape lapa
pole sana siasa zitakupeleka kubaya kuliko kuwakabidhi wanasiasa ufunguo wa maisha yako ni bora ukabadili kitasa kuna maisha nje ya siasa
 
Back
Top Bottom