Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

jua kali kweli kweli ! tunakunywa maji ya malambo tu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ungemuongezea na maji yetu sahizi huku tunakunywa ya rangi ya udongo maji safi na salama[emoji28][emoji28][emoji28]
 
81f50e13609c9164b6de5a8013627eb9.jpg
Very brave. Nimependa sana hiyo industrialization vs power cuts
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ungemuongezea na maji yetu sahizi huku tunakunywa ya rangi ya udongo maji safi na salama[emoji28][emoji28][emoji28]
hahhaa na hatuugui
 
Nimecheka sana huyu Masoud bana.......anajua sana kutumia akili yake kufikisha ujumbe
 
Maneno meeengi ya vi-wonder kwenye presentation ya hiyo vi wonder (kwenye sahani) ndio kiduuuch halafu waiter ndio anamalizia baada ya yote haya na kuna powercut[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]
 
Back
Top Bottom