Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Ya kwanza nadhani iko poa, ila hiyo ya pili (ya chini) si economic, gharama ya project hiyo ni kubwa mno
 
f111ad5bdfaf795a5d75f7b50b5483dd.jpg
Masudi kafikiria kiasi,kuna overpass moja Japan imepita ndani ya jengo la ghorofa kadhaa Ila walitumia only one floor ni kwasababu landlord alikataa kuuza jengo lake. ..akawaruhusu iyo floor moja!!

Kwa case ya hapo best option ilikua kuvunja kwann,ni kwasababu overpass zinahitaji space..gharama za ujenzi wake ni zaidi ya billion 180. ....Ni rahisi kufanya ufanisi space inapokuepo kulingana na mchoro. ..kurudia design ni gharama kubwa pia. ..gharama juu u gharama...bora kuvunja tu
 
Shida ya kuwatumia engineer uchwara ndiyo hiyo. Na jamaa akiamua hata hataki kushauriwa! Acha wabomoe na kesho umeme kesho ukipanda kwa ujinga wetu ili Tanesco wajenge jengo jipya, tusilalamike.
 
Huyu Eng Masoud ametisha sana.., tatizo linakuja kwa Madereva hawa Wanywa Viroba, kila siku utakuta wameacha njia wapo juu Ghorofani!
 
Mi navyoona badala ya kuvunja pande zote mbili, wavunje upande mmoja tu ambao utakuwa na madhara kidogo ya mwingine badala ya pande zote. Mvunjieni Kitila yeye ashahamia Dodoma tayari
 
Back
Top Bottom