Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Ujinga Ujinga tu, barabara gani (main road) ina kona kali kiasi hicho au mteremko wa ghafula kisa nyumba!!!
 
Jamaa anajadili suala la bomoabomoa hapa bongo kwa kutumia fasihi.
Mawazo safi sana
 
dcd18d5ee045fc472ea79388e6fe6878.jpg
Napuuza wazo la lupita juu ni la kijinga kabisa
 
apatikane mtu aandike kitabu kuhusu haya uanayotokea kizazi kijacho kitajifunza mengi
 
Katika watu ambao rais anaweza akawachukulia umakini ni pamoja na ushauri huu hilo jengo halitavunjwa me nadhani washauri tayari wameshafanya kazi yao unapomshauri mtu mpe na mfano sidhani kama anaweza kuwa juha kiasi hicho ila asipochukua ushauri huu atakuwa amefanya maamuzi ya kijuha hapo ndio kumpa mtu ushauri na evidence
 
Yaani mi nasikitika Jinsi mawazo ya watu wengi yanavyopuuzwa.. Nasema gharama ya kubomoa tu unajengea Nyumba majirani Wa Tanesco wote.. Sasa Kwa nini tutumie Nyundo kumuua Mende.?? Wawaite watu watengeneze mji kulingana na Natural features tulizonazo.. Askari monument inaweza kuhamishwa lakini sio Mgorofa mrefu ubungo nzima kwenye Jiji la kibiashara kama DSM. Viongozi wetu mshaurini Mkulu.
 
Back
Top Bottom