MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,104
Mbona manispaa ya Kigoma ujiji imeacha matak0 wazi teteteteteteteHapa naona kama kuna sehemu ya tumbo wanafanya mambo gizani ila ya serikali za mtaa wanatakiwa kufanya nuruni. Inamaana wao hawatakiwi kuonwa ila wengine lazima waonwe?View attachment 632843
Na mkusanyaji kodi ni huyo serikali za mtaa na mtumiaji mkubwa ni serikali kuu. Na hataki uwazi
