Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Kipanya nimeanza kumshushia hadhi. Labda kwa lengo la kuchekesha.
 
Jamaa kafikisha ujumbe....magufuli aliwahi kusema kuwa huwa anasoma katuni zake alozochorwa na kichwa cha namba8...
So japo dawa ya kolokwini huwa ni chungu,ila ndo dawa...ishu ni jamaa apone...
Ubaya wake jpm anaona watanzania million 49,999,999 wote hawana akili njema..
Ila mtu mmoja tu ndye mwenye akili kuzd wote...
Hajui kuwa kuna wakina Chaurembo huku mitaani akili nyingi kuliko yeye....
Issue abadilike
 
Kipi kilianza hapo na kwa Kiwango kipi? Mijengo yenyewe ilijengwa enzi ya Ten% Mimi siungo mko mawazo ya kipanya, tusije pata maafa ya kudondokewa na jengo bure.
 
Upuuzi wa masoud Kipanya siku hizi siusikii, kaleya upuuzi wa kupita juu
 
kwa walioelewa tu
23658906_1263657963740915_1812985125815018702_n.jpg
 
Back
Top Bottom