Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Atakuwa amefura kinomaHii katuni inaweza kupasua mtu.
Atakuwa amefura kinomaHii katuni inaweza kupasua mtu.
Hapana, usiruhusu jambo hili! Tuendelee na Mjadala wetuHahaha huyo jamaa yangu anataka tuanze kupapasana kwa kukashifiana humu sasa hivi sijawa tayari.
Ila sijui kijani ipi ni sahihi!!?Mbona wote wamevaa mashati ya kijani.
Huyu Kipanya huyuuuuu!!!!!!Huu ujumbe wa kiina mwitta mwaitanana pia unawagusa
Kipanya anauwezo wa kufikiri kuliko wa kiongozi wetu wa yuu.Huyu Kipanya huyuuuuu!!!!!!
Nyingine inamalizia miradi pale chattelKwani ile 1.5 t imekatika tayari?
Hapa ni kwamba wana ccm ndio hao hao wanarudi kwao ccm... Tafsiri ya pill ni kuwa je ccm ya ukweli inarudi lini ??Nimeshindwa kuuelewa huu ujumbe wa msanii nguri wa katuni MR KIPANYA sijui hapa ana maanisha kitu gani?View attachment 937685
Sky huwa unapakua wapi? Magazeti mengi mimi naona vichwa vya habari tu. Nipe link tafadhari. Najua na wewe ni mbeba box kama mie.
Nenda jwenye akaunti ya Kipanya InstagramSky huwa unapakua wapi? Magazeti mengi mimi naona vichwa vya habari tu. Nipe link tafadhari. Najua na wewe ni mbeba box kama mie.
Meaning?🙄
Wikendi njema inaanza
Nashukuru ila mimi siyo member wa hiyo kitu. Sisi ni vikongwe tusiobadilika.Nenda jwenye akaunti ya Kipanya Instagram