Hivi nyie watu mnataka mahindi yapande bei huku mjini unga uuzwe je?Mahindi yanatia huruma
Nimeshindwa kuelewa hapo na je alikuwa wapi?Anarudi nani hapo mtoto au baba?
Kwani ile 1.5 t imekatika tayari?Hujamuelewa tu?
Anamaanisha ile deadline kwa wapinzani kuziunga mkono juhudi za JPM sasa ndiyo zimefika mwisho
Habari za uhakika ni kuwa pesa "zimekata" toka kule zilikokuwa zinatoka!
Nimeshindwa kuelewa hapo na je alikuwa wapi?
Mods ingilieni kati huyu dogo afanye kaziAnarudi nani hapo mtoto au baba?
HahahahahaNimeshindwa kuelewa hapo na je alikuwa wapi?
Mods ingilieni kati huyu dogo afanye kazi
Ila wewe ngoja tuKabisa.
Hii katuni inaweza kupasua mtu.Hahahahaha View attachment 937695
Hahhaha nipo humu 6 years mkuu yaani nakujua kama uchi wangu.Ila wewe ngoja tu
Hahahaha waione CCM woteHii katuni inaweza kupasua mtu.
Mpwa, nini mbaya Tena? Life is too short bhanaHahhaha nipo humu 6 years mkuu yaani nakujua kama uchi wangu.
Jana ulitaka uchuro nikaamua kukupuuzia maana nataka nikutafutie sababu ndogo utakipata cha moto.
Kinyonge wamekubali chezea mwenye pesa?Hahahahaha View attachment 937695
Mpwa, nini mbaya Tena? Life is too short bhana