Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,668
- 1,660
Eti eeeeh?
Vifo vyao ni vya kiboya sanaa
Vifo vyao ni vya kiboya sanaa
KumbeHii Katuni Inasema mengi Sana... Kipanya amefunikwa na Kivuli cha Muuwaji Mwenye SMG.
Mnalia sana hayo yote yaliandikwa kwenye biblia tangu enzi na enzi mauaji yalikuwepo..Waulize walipo wababe hawa angalau roho ya utu uwarejee
1. Hitler
2. Seseseko Mobutu
3. J. B. Bokassa
4. Jirani mwema Dada.
5. Kanali wa dunia Gaddafi
Wauaji hata misiba yao huwa haieleweki. Wengine wamefia ugenini na kuzikwa na watu sita.
6. Kambarage NyerereWaulize walipo wababe hawa angalau roho ya utu uwarejee
1. Hitler
2. Seseseko Mobutu
3. J. B. Bokassa
4. Jirani mwema Dada.
5. Kanali wa dunia Gaddafi
Wauaji hata misiba yao huwa haieleweki. Wengine wamefia ugenini na kuzikwa na watu sita.
Mgiriki unahalalisha ubaya kwa ubaya ?!. Ikatokea unayoyataka basi wao watakuwa salama lakini si watoto na wajukuu zao [emoji40] [emoji87]Mnalia sana hayo yote yaliandikwa kwenye biblia tangu enzi na enzi mauaji yalikuwepo..
Sema tu kwakuwa sasa hivi huruma za kisiasa watu zinawatia mihemko..
Unamfahamu mtu mmoja aitwaye Raheli?
Hao ni ma baba wa mataifa ya Tanganyika na Zanzibar na moja karibuni anatangazwa mtakatifu [emoji23] [emoji12] [emoji40]6. Kambarage Nyerere
7. Abeid Karume
Inafaa tumuone mama wa huyo mtoto sasa,maana hata mama yake madenge aliishaonekana.