Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Hapana, hata Gayo huchora Katuni fikirishi za kisiasa, kuna yale Magazeti (Magazine) ya Kingo, hutolewa kama free copies kama sikosei...ameshawachora sana kina E.L, Mstaafu Mzee Ben n.k.
Nashukuru kwa kunirekebisha, mkuu
 
Hapana, hata Gayo huchora Katuni fikirishi za kisiasa, kuna yale Magazeti (Magazine) ya Kingo, hutolewa kama free copies kama sikosei...ameshawachora sana kina E.L, Mstaafu Mzee Ben n.k.
Kuna gado yule wa Kenya japo ni mbongo ni shida
 
Masoud nadhani ni politics cartoonist wakati james ni story catoonist, wana tofauti. Ila story za gayo zinakuaga umenunua gazeti asubuhi ila unakuja kuelewa story jioni. Kama assignment vile.
Hahaa
 
Katuni za kina madenge, Lodi Lofa, kipepe, Dr. Love Pimbi, Bush stars etc mchoraji nani vile...!? Jamaa mkali aisee.
 
Kiujumla mi Gayo na Kingo wake huwa siwaelewi kdog kipanya huwa namwelewa make yeye anadeal na trending news....lakn Gayo mi nishamnyoshea mikono
 
Huyu jamaa mi shiiida sana
IMG-20181106-WA0000.jpeg
 
Nani tena amendei mkuu, instagram yangu ipo under construction siwezi kufungua kwanza.

Weka info mkuu.
 
Back
Top Bottom