Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,988
- 9,213
Anamaanisha huyo MUSIBA haropokwi bure..... Lazima kuna back up anayo! Hawezi kuropoka kule anakotopoka na bado yupo tu anadunda!
Ya pili ya muuza nguo sijampata
Anamaanisha huyo MUSIBA haropokwi bure..... Lazima kuna back up anayo! Hawezi kuropoka kule anakotopoka na bado yupo tu anadunda!
Gayo ni Namba nyingine aisee
😀Masoud nadhani ni politics cartoonist wakati james ni story catoonist, wana tofauti. Ila story za gayo zinakuaga umenunua gazeti asubuhi ila unakuja kuelewa story jioni. Kama assignment vile.
Yaani watu mna vitukoMkuuu nishawaza kama ww ila bado kichwa kitupu.


Anaitwa James Gayo hujakosea, Jamaa naye Mtaalamu sana.Hamzidi yule wa Kingo bwana James Gayo kama sijakosea.
Mkuu siyo kila kitu unawafafanulia watu, vitu vingine unapiga kimya tu, unawaacha wachangamshe "bongo lala" zao, na hiyo ndiyo inaleta utamu wa kujadili hoja. Sasa hapa umeshaharibu kila kitu.Anamaanisha huyo MUSIBA haropokwi bure..... Lazima kuna back up anayo! Hawezi kuropoka kule anakotopoka na bado yupo tu anadunda!
Hapana, hata Gayo huchora Katuni fikirishi za kisiasa, kuna yale Magazeti (Magazine) ya Kingo, hutolewa kama free copies kama sikosei...ameshawachora sana kina E.L, Mstaafu Mzee Ben n.k.Masoud nadhani ni politics cartoonist wakati james ni story catoonist, wana tofauti. Ila story za gayo zinakuaga umenunua gazeti asubuhi ila unakuja kuelewa story jioni. Kama assignment vile.
Gayo haweki hata dot/nukta hangaisha akili yako mwenyewe tu
Jamaa kavamia utepe wa Polisi wenzake waleeeeeeeeeeeeeeeee.hahahhhaaaa nimecheka sana![]()
![]()
Jamaa kavamia utepe wa Polisi wenzake waleeeeeeeeeeeeeeeee.
hahahhhaaaa nimecheka sana
Walio muiga leo wapo mahakamani na mchezo mchezo mtu atanyea ndoo segerea sasa hivi huku mwenzake akipeta kitaaAnamaanisha huyo MUSIBA haropokwi bure..... Lazima kuna back up anayo! Hawezi kuropoka kule anakotopoka na bado yupo tu anadunda!
Duuh! wewe mtanzania una uchoyo mpaka kwenye kufafanua fumbo lina maana gani?Mkuu siyo kila kitu unawafafanulia watu, vitu vingine unapiga kimya tu, unawaacha wachangamshe "bongo lala" zao, na hiyo ndiyo inaleta utamu wa kujadili hoja. Sasa hapa umeshaharibu kila kitu.
Na hiki ndio kinamfanyaga awe salama siku zote,ni mpaka mtu awe na akili ya ziada kumuelewa,viongozi wetu wengi kichwani weupe
Hii itakuwa ile stori ya yule mzungu aliyekamatwa kwa kuuza taa abazo wavuvi wanazitumia wakati wa kuvua samaki usiku kule lake victoriaHii nmetoka kapa wakuuView attachment 919362