Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Mawakili%20wa%20mwanasiasa%20wa%20upinzani%20nchini%20Tanzania%2C%20Zitto%20Kabwe%20wanaripot...jpeg
 
Tanganyika na baadae Tanzania hatujawahi kupanga kuwa na Kiongozi ila huwa tunapangiwa nasi tunachukua tunaweka. Hakuna haja ya JYM wala BCM kuhofu kuhusu kuponzwa!
 
Hilo sio dongo kwa Waziri Mwanzomwaka Marope na kutajwa kwa baba yake na yule mropokaji wa gazeti la tanza nini sijui

Maana hilo shati la kijani na baba mtu aliwahi kua mtendaji wake mkuu basi picha inaunganika. Baba anaponnzwa na harakati za mwanae na mbio za uraisi
 
Katika katuni naipenda ni Ile, alimchora Mbowe ameng'ang'ania Kiti
 
Back
Top Bottom