Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Yaani Nyie wapuuzi kweli.Unakijua kitu kinaitwa YARABI NAFSI??.Ataje Ili iweje.Akisema mtu aliye tayari kujitokeza afe badala yake ili aseme alikokuwa,Utakuwa tayari?,hiyo ndiyo inaitwa Yarabi nafsi yangu.Sema uone kama hujatolewa roho.Kula ugali wako,kakojoe ukalale.
kwani asiposema ndo hatakufa
 
Wangetengeneza ambush wakati wa kumuokoa wangepata sifa sana

KP25102018.jpg
 
Wakati wa kumuokoa aliyetekwa! Anakejeli maana anajua huwezi kuwafanyia ambush watu ambao ni wenzako katika kutengeneza mpango!
Seat ya kwanza!
 
Wangetengeneza sinema la kihindi wakamuokoe Mo na kufyatua marisasi na mengine yakate kona yaue akina Akwilina wawili watatu ndio wangepata sifa kuwa wanafanya kazi kwa weledi.
 
Ambushi ningumu kwasababu wangelazimika watafute wazungu kama walivo tueleza ndo walio husika......lzma mtu angetoka kafara kuuliwa ili kuthibitisha mapambano.
 

Ambush tena ???????
Igizo dogo tu wameumbuka mchana kweupe sembuse ambushi, wangeweza hata kujichapa risasi wenyewe kwa wenyewe mana they are not organized

Huwa nacheka sana kila nikikumbuka ile picha ya sisitivii
 
Back
Top Bottom