evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,970
- 9,901
Katika maelezo yote ya kutekwa Mo sijasikia sehemu kwamba walimfunika macho.Kama kweli hawajui
Kimsingi alikuwa anaona kila kilichokuwa kinafanyika .
Na lazima anafahamu alipopelekwa,
anazingua tu huyo Mo, kimsingi nimemdiscredit sana nilikuwa mpenzi sana wa bidhaa zake .
Ila Kwa sasa sintonunua bidhaa yeyote ya Mo nimemuona jamaa ni mnafki au muongo kupita kiasi
