Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 980
- 3,647
Hamna sehem isiyo eleweka hapo mbona?
Inawezekana kabisa
Anazoom social responseKipanya mtu wa kitengo
Hahahaaa! kipanya is on loose again😛😛😛
Kama kweli hawajuiHuyu Mo ni mwehu tu, kwenye hii ishu nimemdharau sana pamoja na utajiri wake.
Kiukweli anaoneka mpumbavu sana kwenye jamii.
Hapa mtaani ninapoishi watu hawanunui tena bidhaa zake.
Nashauri watanzania wote wazalendo tunaotaka hao wasiojulikana awataje tugomee kununua bidhaa zake.
Nashauri ianzishwe kampeni ya kugomea bidhaa za Mo Tanzania nzima hadi hapo atakapowataja waliomteka