BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,911
Mbona yeye aliponea chupuchupu hakuongea?View attachment 907343
Mfano Roma Mkatoliki na sasa Mo kunani huko mateka?
Na polisi kwanini wanazuia wasiongee kama sio wahusika na hao wasiojulikana mpka leo hakuna waliokamatwa?
