Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Kwa usanii wa kipanya ingekuw mbele huko kwa trump angekuwa na mahela kibao Mo mchumba yan

Ila ndio hvyo bongo Nyoso
 
Kwa usanii wa kipanya ingekuw mbele huko kwa trump angekuwa na mahela kibao Mo mchumba yan

Ila ndio hvyo bongo Nyoso
Saana yaani ila kwetu huku thamani ya vipaji hakuna ndio maana unaona hata wanamziki wanakuwa wanaishia kufa na madawa ya kulevya wakiwa maskini hata hela ya matibabu mpaka kuchangiwa
 
Hongera IGP MOROTO.
Kwakweli jeshi letu shupavu limefanya kazi kubwa sana sana.
 
Inaeleweka vizuri sana, ila wenye hila zao ndio wanaona makorokocho.
 
FB_IMG_1540223121049.jpg


Mfano Roma Mkatoliki na sasa Mo kunani huko mateka?

Na polisi kwanini wanazuia wasiongee kama sio wahusika na hao wasiojulikana mpka leo hakuna waliokamatwa?
 
Back
Top Bottom