Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Tumekabidhi nchi kwa washamba
Kuna raia bado hawaamini hii kitu ,sijui hadi washamba wafanyenini ndo waamini.

Yani baba zima kutamba hadharani kua wewe ni kiongozi wa wanyonge ni udhalilishaji mkubwa.
 
Mkubwa kea Nini husifikirie kinyume chake kuwa Kuna watu wanataka kuichafua serikali yetu maana Kama Ni serikali wanajua kuwa wakimteka mtu katika maeneo ya serikali watajulikana wao,na wanaoichukia serikali wakaona wakimteka mru maeneno ya serikali itajulikana serikali,Ni mawazo yangu tu mkubwa
Ngoja nikae pembeni na "rungu" langu nisubiri watakaokuja ku -like comment yako:!
 
Hakuna Director wa Holly Wood anaejielewa atakubali kujidhalilisha na aina hizi za movie, hata hivyo waanze kwanza na wa bongo movie ! Holly Wood mbali sana.
 
Ndio sababu watu wengi,na mimi nikiwemo tunatamani sana kuwepo na uchunguzi wa vyombo kutoka nje ambavyo havitakuwa rahisi kupelekwa kisiasa ili tujue ni wahuni gani hawa wanataka kuiharibu sifa nzuri ya taifa letu.
Je unajua madhara ya kutumia vyombo vya nje kuja kuchunguza Mambo yenu ya ndani?
 
hakuna kitu kibaya kama kukosea kufanya hesabu halafu unajisifia umeipata exactly..
huku mathematicians wakiisubiri waisahihishe
Tz watu wapo makini sana kuliko Rwanda, Zimbabwe na Uganda
na hata wale kidumu wanajielewa basi tu wanataka mkono uende kinywani
 
Umesema kweli mkuu hao ndiyo wengi
hakuna kitu kibaya kama kukosea kufanya hesabu halafu unajisifia umeipata exactly..
huku mathematicians wakiisubiri waisahihishe
Tz watu wapo makini sana kuliko Rwanda, Zimbabwe na Uganda
na hata wale kidumu wanajielewa basi tu wanataka mkono uende kinywani
 
Na mwingine akiandika hivi wamefanya hili kwa huyu ili ichukuliwe ni kawaida au mazoea.

Lakini ikumbukwe MO ni mfanyabiashara hili lifanyika kwa mwasiasa tungekuwa tunaongea mengine kwani tukumbuke mwanasiasa ana wafuasi wengi wanaoziishi itikadi zake ndiyo maana umoja wa kitaifa unazidi kumomonyoka ajili ya hizo Itikadi kwa hiyo tuombe Mungu jambo kama hili lisije kumtokea Mwanasiasa kwani kila mmoja anajua maana y'a Itikadi ndani ya Imana kamili inayoishi ktk Roho za Watu
Lakini huyu pia alikuwa na 'wafuasi' zaidi ya 23,000 (wafanyakazi wake na familia zao) + wapenzi wa timu ya Simba (sina idadi yao).Ni zaidi ya unavyofikiria!
 
Back
Top Bottom