Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Mbona kipanya hana jipya. Nafikiri mlichofurahia ni kujua kuwa Masoud kipanya anafikiri sawa na wanaharakati wengine.
Familia ya Mo ndio ulipata matatizo ndio pekee wanautambua Mchango wa vyombo vya usalama vimefanya nini mpaka Mo kupatikana.
Wanaoamini hiyo ni movie yakiwatokea wasiombe huduma ya polisi kwani hawana uwezo.
 
Andha kanoon imezima ghafla .. Ruti ruti kasnatihe aste aste kurubaaaniiii!
 
Uwezo wako wa kufikiri na kuchanganua matukio ni 0
Mbona kipanya hana jipya. Nafikiri mlichofurahia ni kujua kuwa Masoud kipanya anafikiri sawa na wanaharakati wengine.
Familia ya Mo ndio ulipata matatizo ndio pekee wanautambua Mchango wa vyombo vya usalama vimefanya nini mpaka Mo kupatikana.
Wanaoamini hiyo ni movie yakiwatokea wasiombe huduma ya polisi kwani hawana uwezo.
 
Hivi huwa hawajioni watekaji kuwa wanazingua, Ushamba watanzania umetujaa sana
 
Mbona kipanya hana jipya. Nafikiri mlichofurahia ni kujua kuwa Masoud kipanya anafikiri sawa na wanaharakati wengine.
Familia ya Mo ndio ulipata matatizo ndio pekee wanautambua Mchango wa vyombo vya usalama vimefanya nini mpaka Mo kupatikana.
Wanaoamini hiyo ni movie yakiwatokea wasiombe huduma ya polisi kwani hawana uwezo.
amka basi, ndoto yako utaimalizia baadae
 
Mkubwa kea Nini husifikirie kinyume chake kuwa Kuna watu wanataka kuichafua serikali yetu maana Kama Ni serikali wanajua kuwa wakimteka mtu katika maeneo ya serikali watajulikana wao,na wanaoichukia serikali wakaona wakimteka mru maeneno ya serikali itajulikana serikali,Ni mawazo yangu tu mkubwa
Ndio sababu watu wengi,na mimi nikiwemo tunatamani sana kuwepo na uchunguzi wa vyombo kutoka nje ambavyo havitakuwa rahisi kupelekwa kisiasa ili tujue ni wahuni gani hawa wanataka kuiharibu sifa nzuri ya taifa letu.
 
Back
Top Bottom