mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
Magufuli kidedea, kuapishwa muda wowote kuanzia jumapili
Kwa hiyo unaona anayefit ni huyu fisadi wanayesema au? Utajikuta Utabaki peke yako mzee! Chadema asilia huko tumeshahama zamaniii!
Hebu mlinganishe Dr Slaa na Lowasa, pima then ujiulize kwa nini tulimpuuza. Hilo ni pigo
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa Giza.Magufuli alia mwenyewe asema amesalitiwa,na kama angejua usariti huo asingethubutu kugombea. Kikwete amtelekeza, Mkapa akimbilia Tanga na Mwinyi nae asepa Zanzibar. Siku 62 za kampeni kikwete aonekana mara 2 tu,cku ya uzinduzi na Morogoro. Mwanza tunamunyoa Magufuli.
Halafu kuna tetesi trh 24 JK anakwea pipa haijulikani atarudi lini.
Halafu kuna tetesi trh 24 JK anakwea pipa haijulikani atarudi lini.
laiti ungejua ishu iliyosukwa hapo.......
ila magufuli anaschukua nchi
Tunaomba ratiba ya leo na kesho ya kampeni za Magufuli utupe hapa?laiti ungejua ishu iliyosukwa hapo.......
ila magufuli anaschukua nchi
Huyu mkulu akisafirigi ujue kuna kitu kitanuka hapa tz,tumuombe mungu ampe lowassa afya na maisha marefu aweze kututumikia tu