Josorobert
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 629
- 215
Kila siku ushindi wa Magufuli wazidi kupand juu.
Kila siku ushindi wa Magufuli wazidi kupand juu.
rubbish!!
Jamani hivi bado najiuliza. Mgombea wetu wa ukawa mbona hana maono kama ambayo anayo Magufuli. Hivi tumemkosea nini Mungu ? Hakika kuna kitu ambacho ukawa hatukufanya vizuri , inawezekana roho ya Dr Slaa na Prof Lipumba bado zinatuangamiza kwa matendo tuliyowatendea. Hivi kweli hata sijajua Lowasa akisimama huwa anaongeleaga nini mpaka leo. Lowasa kwishney namshauri labda angejiuzuru mapema ili kukwepa aibu inayokuja
Imezidi ile ya maisha bora? Hapana danganyika tena na salam kashazipata ubungo
Kwa hiyo unaona anayefit ni huyu fisadi wanayesema au? Utajikuta Utabaki peke yako mzee! Chadema asilia huko tumeshahama zamaniii!Stupip post.
Nani asiye juwa magufuli ni mtambo.
Magufuli afit nafasi ya urais
Kwa hiyo unaona anayefit ni huyu fisadi wanayesema au? Utajikuta Utabaki peke yako mzee! Chadema asilia huko tumeshahama zamaniii!
Hebu mlinganishe Dr Slaa na Lowasa, pima then ujiulize kwa nini tulimpuuza. Hilo ni pigo