Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

Kelvin John atoke chap Samatta akawafunge hawa Kenge

Morice Abraham au Kibu miguvu game inawafaa hii
 
Huyo alimkamia osimhen apaishe Jina. Ni kama wale mabishoo wa shule wakionaga pisi wanavyojiremba.
Kacheza vizuri tu na ameclear chance za wazi kabisa 3 hadi mda huu unataka afanye nini?

Awazuie wachezaji wa Uganda wasivuke mstari wa kati au wasiingie ndani ya box ingekuwa wewe ungefanyaje?
 
Mohammed Hussein naye cross unga nyingi sana kila mpira cross huyu jamaa akili za ma full back wa kisasa hana kabisa
 
Hawa waganda nao ni wagonjwa tu, wanajicheleweshea ushindi na wakati mechi ya kushinda mapema kabisa hii.
😅😅😅

Tanzania tuko vizuri mkuu wala sio kwamba Uganda ni wagonjwa

Hata tucheze na Spain bado mtasema Spain wagonjwa kama mlivyosema kwa Nigeria 😅

Kabla ya mechi mna kelele sana ila baada ya kuona hali halisi mnabadilika sasa ila binadamu 😅😅😅
 
Mohammed Hussein naye cross unga nyingi sana kila mpira cross huyu jamaa akili za ma full back wa kisasa hana kabisa
Krosi anapiga nzuri tu sema wapiga vichwa ndo hamna 9 na 10 wote vijeba wale

Leo Popa angekuwepo mbele pale hadi mda huu Ubao ungesoma Tunaongoza
 
Back
Top Bottom