Tukiendelea kuamini kuwa mpira ni kipaji, hatutafika popote. Wachezaji unawaona kabisa kuwa wana low brain computation. Mpira ni mchezo wa maamuzi ya haraka, no way ukafanya maamuzi hayo kama brain yako ndogo. Mpira una mathematics na physics zake kutoka kwenye kujipanga, (positioning), kuupokea hadi kutoa pasi. Wachezaji wengi wa Tanzania wanaangukia kwenye shida hiyo. Matokeo yake wanakimbia kimbia tu. WAFUNGWE TUWanaruhusu sana mashambulizi.
Ni kama vile wamewaacha Uganda Wacheze
Na utaendelea kuona hivyo hivyo mazigazi tu,Mimi sielewi hata wanachocheza uwanjani naona mapicha picha tu
Wanacheza huku wanawaza 300m wajinga hawaTaifa stars wanacheza kama wametoka jando
Huyo alimkamia osimhen apaishe Jina. Ni kama wale mabishoo wa shule wakionaga pisi wanavyojiremba.Game haijamkubali hii.