Ungekuwa unajua mpira wala hata usingeshangazwa na matokeo dhidi ya Nigeria kwa aina ya uchezaji wao, timu inashambulia bila attacking pattern zaidi kutegemea individual brilliance, ndio ikapiga mashuti mengi golini ila magoli waliyopata ni mawili.😅😅😅
Tanzania tuko vizuri mkuu wala sio kwamba Uganda ni wagonjwa
Hata tucheze na Spain bado mtasema Spain wagonjwa kama mlivyosema kwa Nigeria 😅
Kabla ya mechi mna kelele sana ila baada ya kuona hali halisi mnabadilika sasa ila binadamu 😅😅😅
Una point,Ungekuwa unajua mpira wala hata usingeshangazwa na matokeo dhidi ya Nigeria kwa aina ya uchezaji wao, timu inashambulia bila attacking pattern zaidi kutegemea individual brilliance, ndio ikapiga mashuti mengi golini ila magoli waliyopata ni mawili.
Angalia hawa waganda chance walizopata mpaka hivi sasa, ni upuuzi mtupu wala hata hawajatulia..
Wewe ni miongoni mwa watu ambao mnapima ubora wa timu yenu kwa ubutu wa mpinzani, kama tu vile media zenu zinavyowadanganya.
Yanaweza kosa haya mawendawazimuWafunge basi
Wanaweza kukosaTutaaaaa