Shekhe bado unasoma?Kama saa 5 bora nilale tu niwahi kesho shule
Elimu haina mwisho , nimeshamaliza chuo mwaka huu ila Kuna shortkozi kwa ajili ya ujuzi Fulani napiga mtaani ili niongeze CV ya cheti changu sababu Kuna mahali nataka kuitumia nikaona nisome kwanza huku nikisikizia kurudi chuo kuchukua vyeti na kusaka michongo.Shekhe bado unasoma?
Wajahidina wapigweee nyingi
Kila la Heri! Piga shule,Elimu haina mwisho , nimeshamaliza chuo mwaka huu ila Kuna shortkozi kwa ajili ya ujuzi Fulani napiga mtaani ili niongeze CV ya cheti changu sababu Kuna mahali nataka kuitumia nikaona nisome kwanza huku nikisikizia kurudi chuo kuchukua vyeti na kusaka michongo.
Hongera sana nduguElimu haina mwisho , nimeshamaliza chuo mwaka huu ila Kuna shortkozi kwa ajili ya ujuzi Fulani napiga mtaani ili niongeze CV ya cheti changu sababu Kuna mahali nataka kuitumia nikaona nisome kwanza huku nikisikizia kurudi chuo kuchukua vyeti na kusaka michongo.
Teyari kakaTutaona ball.
Umefika Bar?